Huu ni upumbavu, why utegemee watu wakupiganie?,ni uzuzu na uoga wako ndio unakutia woga na kama kawaida ya watanzania unassuming tatizo kwa watu wengine, wewe unakimbilia humu kwenye comfort zone, Kenyans wamemwaga damu kufikia stage hii ya democracy in the making, matokeo yanatoka hata mimi niliyepo huku lingusenguse ninayaona straight, kwetu one person anabadilisha matokeo ya nchi nzima na kunguru wote wanainamisha vichwa chini na kulalama kwenye key boards. Pigana no one will fight your battlesSasa hivi wapinzani wanarelax tu na kushangilia mama anaupiga mwingi ikifika wakati wa uchaguzi mnaanza kususa. Hakuna chama mbadala wa CCM. Wapinzani wenyewe ndio hao ? Hauko serious.