Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imekamilisha kuhesabu Kura kutoka vituo 46,203 kati ya vituo 46,229 ambapo bado vituo 26 ili kupata jumla ya Kura zote
-
Kwa mujibu wa Matokeo ya Nation Media kufikia leo saa 11:20 jioni, Mgombea Urais wa UDA, William Ruto bado alikua akiongoza kwa idadi ya Kura 6,703,493 = (49.91%) dhidi ya Raila Odinga, Mgombea wa Azimio mwenye Kura 6,636,849 = 49.41%
-
Mshindi wa Kiti cha Urais anahitaji kupata 50% ya kura halali zilizopigwa, pamoja na 25% ya kura kutoka kwenye kaunti 24
50%+ votes.
 
Hata wao wenyewe wameshaanza kulalamika, au unaangalia channels zipi mkuu. KTN pundits wale maprofesa wamehoji sana kwa nini ghafla matokeo ya uraisi yamekoma kutangazwa na hao tume hawasemi kitu.

Kama ni hivyo si waendelee sasa kutoa hizo provisional results? Mbona media zote wamestop?
Nyinyi mnaangalia uchaguzi wa nchi gani na station zipi?

Updates za matokeo wametoka kutangaza sasa hivi, na isitoshe IEBC wapo makini na hukumu ya mahakama ya uchaguzi uliopita ukafutwa na mahakama IEBC haitaki dosari zile zijuridie kwenye uchaguzi huu.
 
Jaman si wamtangaze tyuuh Odinga huyu mzee, khaaah kura hizo walipiga bara zima? Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hadi leo bado tyuuh, mzee ashakodi lorry la kubeba vitu kuhamia ikulu. Sasa mnacheleweshaa.
 
Jaman si wamtangaze tyuuh Odinga huyu mzee, khaaah kura hizo walipiga bara zima? Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hadi leo bado tyuuh, mzee ashakodi lorry la kubeba vitu kuhamia ikulu. Sasa mnacheleweshaa.
RUTO AMESHINDA
 
Jaman si wamtangaze tyuuh Odinga huyu mzee, khaaah kura hizo walipiga bara zima? Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hadi leo bado tyuuh, mzee ashakodi lorry la kubeba vitu kuhamia ikulu. Sasa mnacheleweshaa.
Cocastic Odinga [emoji16][emoji16][emoji16].
Songea oyee
 
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) imekamilisha kuhesabu Kura kutoka vituo 46,203 kati ya vituo 46,229 ambapo bado vituo 26 ili kupata jumla ya Kura zote
-
Kwa mujibu wa Matokeo ya Nation Media kufikia leo saa 11:20 jioni, Mgombea Urais wa UDA, William Ruto bado alikua akiongoza kwa idadi ya Kura 6,703,493 = (49.91%) dhidi ya Raila Odinga, Mgombea wa Azimio mwenye Kura 6,636,849 = 49.41%
-
Mshindi wa Kiti cha Urais anahitaji kupata 50% ya kura halali zilizopigwa, pamoja na 25% ya kura kutoka kwenye kaunti 24
Bado vituo kama 4,000 wewe

Sent from my SM-J250F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom