Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Wewe ni mwendawazimu
Mimi nafatilia kila kinachotokea huku najua, Ruto AMESHINDA tokea jana ila raisi kagoma ndio maana unaona sarakasi zote hizo
Kagoma kutokea wapi wewe mjinga? Acheni mbambamba.
 
Una uhakika???
Nina uhakika zaidi ya 100%, huo ni ukweli Kama ulikuwa umejiandaa na odinga nakupa pole. Wanachofanya Sasa ni delay tactics ili kupunguza tension japo raisi anataka kufanya maneuver
 
Odinga huu ni uchaguzi wa 5 anagombea na mara zote anashindwa. Sababu zipo nyingi Ila kubwa ni hawataki mjaluo awe raisi
yawezekana asee. Niliwahi sikia baba yake na RAO mzee AMOLO ODINGA aliwahi achiwa nchi na mzee Jomo Kenyata alipokwenda ziara(matibabu) nje ya nchi asee mzee Jomo anarudi anakuta Amolo Odinga VP wake anapesa nyingi kiasi kwamba utajiri wa serikali ya Kenya na utajiri wa Amolo unatofautiana senti 6 tuu. Japo ni story za kwenye kahawa huwa siziamini ila jaluo ni watu wangu wa karibu kule kanda yetu maalum. Asee wale jamaa ukiwa unapiga nao mchongo au mishe yakupasa uwe macho sana. Unaweza uziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Odinga huu ni uchaguzi wa 5 anagombea na mara zote anashindwa. Sababu zipo nyingi Ila kubwa ni hawataki mjaluo awe raisi
yawezekana asee. Niliwahi sikia baba yake na RAO mzee AMOLO ODINGA aliwahi achiwa nchi na mzee Jomo Kenyata alipokwenda ziara(matibabu) nje ya nchi asee mzee Jomo anarudi anakuta Amolo Odinga VP wake anapesa nyingi kiasi kwamba utajiri wa serikali ya Kenya na utajiri wa Amolo unatofautiana senti 6 tuu. Japo ni story za kwenye kahawa huwa siziamini ila jaluo ni watu wangu wa karibu kule kanda yetu maalum. Asee wale jamaa ukiwa unapiga nao mchongo au mishe yakupasa uwe macho sana. Unaweza uziwa mbuzi kwenye gunia.
 
Wewe ni mwendawazimu
Mimi nafatilia kila kinachotokea huku najua, Ruto AMESHINDA tokea jana ila raisi kagoma ndio maana unaona sarakasi zote hizo

Huyu huyu aliyetangazwa mshindi na bado watu wakaenda mahakamani uchaguzi ukarudiwa ndio kagoma matokeo kutangazwa?
 
Taarifa ya jioni kutoka DW Swahili ni kuwa IEBC bado inahakiki form kutoka maeneo Bunge 290 hadi Leo jioni ni maeneo Bunge 14 tu yalikuwa yamisha hakikiwa.So,hayo matokeo mnayayaona mtandaoni kuwa IEBC imisha hesabu kura 74% probably ni fake na kuna uwezakano matokeo yasitangazwe ndani ya siku 7 za kikatiba toka kufanyika kwa uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…