Sema Omera.Haya wale waliokuwa pro Ruto kujeni hapa laleni chini tuwachape mboko kwa kutusumbua na ubishi wenu wa kijinga.
Tumemaliza kazi huko mkuu now tupo na tuendelee mkuu 😂...Kuna nini Tena tujuze
Naona wadau wako kwenye mechi ya Simba na Yanga
Mkuu please rudisha ile avatar picha Yako ya awali ya Mugabe. Please!Bora apite huyu mzee, kila la heri kwake
Jiandae kuvua msuli. Namba zimeshatosha huko juuMkuu please rudisha ile avatar picha Yako ya awali ya Mugabe. Please!
Ameashinda nan???? Odinga??Haya wale waliokuwa pro Ruto kujeni hapa laleni chini tuwachape mboko kwa kutusumbua na ubishi wenu wa kijinga.
Pole sana.Jiandae kuvua msuli. Namba zimeshatosha huko juu
Mkuu please rudisha ile avatar picha Yako ya awali ya Mugabe. Please!
Yanga 2-1 SimbaMatokeo bado tu?
[emoji23][emoji28]hiiii,,,,[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Yanga 2-1 Simba
Ha ha ha.🤣🤣🤣Yanga 2-1 Simba
Huenda katekwa na wajuaji.Kenya ni nchi ya mafia.Kumbuka kuna mtu wa tume ya uchaguzi alishawahi kuuwawa na kukatwa kidole kipindi cha chaguzi zilizopita🤔Na hii inaelekea huko kwani kuna wakala keshaondoka na nakala zote na akitafutwa hapatikani.
Watu wa Raila wanaketa delay tactics katika verification pale BOMAS sasa unajiuliza watu wana support ya Rais fujo zanini?Hadi watu wameopotea kwa huu Uzi!! Umekuwa hauna maana tena
Hiyo ishu iliwaogopesha mno watu.Huenda katekwa na wajuaji.Kenya ni nchi ya mafia.Kumbuka kuna mtu wa tume ya uchaguzi alishawahi kuuwawa na kukatwa kidole kipindi cha chaguzi zilizopita[emoji848]
Matokeo yataakuwa batilsiku 7 ikipita matokeo hayajatolewa nini kitafuata?
We jamaa mbishiii. Google tu uchaguz 2017 results utapta jibu.Hapana. Mudavadi alikuwa kwenye muungano wa NASA
Matokeo ya "tume huru".Matokeo yataakuwa batil
Hiz delay tactics Zina uzur presha ya wananchi inakuwa imeshuka kidgo, ila ubya Kwa kuchakachua matokeoLeo ni siku ya nne bwana ni kuanzia jumatano na mwisho ni jumanne kwa mujibu wa katiba yao, ndani ya siku 7 baada ya tarehe ya uchaguzi.
Mmeisha iba kura?Haya wale waliokuwa pro Ruto kujeni hapa laleni chini tuwachape mboko kwa kutusumbua na ubishi wenu wa kijinga.