Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Hahaha nafuatilia Sasa hivi. Ruto anaongoza Zaid. Raila hoi. Ruto tayari rais
Matokeo yakitangazwa na RAO akachukua Nchi usi log off tafadhari,ukae hapa hapa tutakusaidia kuomboleza.
 
Matokeo yakitangazwa na RAO akachukua Nchi usi log off tafadhari,ukae hapa hapa tutakusaidia kuomboleza.
Screenshot_20220814-203645.jpg
 
Kabla ya Mahela mbona tulikuwa tunachezeshwa Sindimba,uchaguzi 2015, 2010 alikuwa ni JPM pia? Uchaguzi wa 2005 je? Unashindwa kuliangalia tatizo kwa upana wake unakimbilia kupeleka hasira zako kwa mtu mmoja?
Uchaguzi wa 2010 au 2015 zilikuwa na kasoro, lakini unazifananisha na ule wa 2020?
Labda kama unajivua tu akili kumtetea Magufuli ama hujui ilivyokuwa
 
Yaan jamaa wewe unachosha sijui ndio nini unaona jf kama yako na sijui kwanin wamekuacha
Kule sport hakuna maana tena umejaza mimada yako ya kijinga unapost kila dakika
Sijawahi kumuelewa huyu ndugu yaani! Ni vile tu kwenye kundi la ati lazima wawepo wenye hekima na wajinga na wapumbavu.
 
Uchaguzi wa 2010 au 2015 zilikuwa na kasoro, lakini unazifananisha na ule wa 2020?
Labda kama unajivua tu akili kumtetea Magufuli ama hujui ilivyokuwa
Wewe ndiyo unajitoa akili,kuna uchaguzi wowote ambao ulishakuwa fair? 2010 unasahau vipi jinsi Dr Slaa akiwa mgombea wa CDM alivyolalamika wazi kuibiwa kura zake? 2015 kina Nape mpaka wakawa wanatamba hadharani kupiga goal la mkono au umesahau? Unadhani kwaninj watu wanataka kuwe na Tume huru ya uchaguzi? Badala kuliangalia tatizo katika upana wake wewe unaelekeza matatizo yako kwa mtu mmoja.Sasa kama JPM ndiyo alikuwa tatizo katika uchaguzi si ameshakufa na tatizo limekwisha kuna haja gani sasa ya watu bado kuendelea kudai tume huru ya uchaguzi kama mawazo yako wewe ni kuona tatizo alikuwa JPM na si mfumo mzima wa jinsi uchaguzi unavyoendeshwa hapa kwetu.
 
Wewe ndiyo unajitoa akili,kuna uchaguzi wowote ambao ulishakuwa fair? 2010 unasahau vipi jinsi Dr Slaa akiwa mgombea wa CDM alivyolalamika wazi kuibiwa kura zake? 2015 kina Nape mpaka wakawa wanatamba hadharani kupiga goal la mkono au umesahau? Unadhani kwaninj watu wanataka kuwe na Tume huru ya uchaguzi? Badala kuliangalia tatizo katika upana wake wewe unaelekeza matatizo yako kwa mtu mmoja.Sasa kama JPM ndiyo alikuwa tatizo katika uchaguzi si ameshakufa na tatizo limekwisha kuna haja gani sasa ya watu bado kuendelea kudai tume huru ya uchaguzi kama mawazo yako wewe ni kuona tatizo alikuwa JPM na si mfumo mzima wa jinsi uchaguzi unavyoendeshwa hapa kwetu.
Unajivua akili kwa kuwa wewe ni mfuasi wa jiwe, nimesema chaguzi za 2010 na 2015 zote zilikuwa na dosari,

Lakini uchaguzi wa 2020 sijui hata kama unafaa kuitwa uchaguzi, ni kama ule uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambao 70% ya wagombea wa upinzani walienguliwa kwa kutokujua kusoma

Imagine hata Samia mwenyewe alipopokea taarifa ya uchaguzi alikiri wapinzani hawakufanyiwa haki
 
Unajivua akili kwa kuwa wewe ni mfuasi wa jiwe, nimesema chaguzi za 2010 na 2015 zote zilikuwa na dosari,

Lakini uchaguzi wa 2020 sijui hata kama unafaa kuitwa uchaguzi, ni kama ule uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 ambao 70% ya wagombea wa upinzani walienguliwa kwa kutokujua kusoma

Imagine hata Samia mwenyewe alipopokea taarifa ya uchaguzi alikiri wapinzani hawakufanyiwa haki
Umeshindwa kuleta nguvu ya hoja badala yake unaleta hoja ya nguvu. Hebu tujielekeze Kenya kwa walio na mfumo unaoeleweka wa uchaguzi na ndiyo maana wakatufanya tupige kambi hapa kufuatilia uchaguzi wao.
 
Wewe ndiyo unajitoa akili,kuna uchaguzi wowote ambao ulishakuwa fair? 2010 unasahau vipi jinsi Dr Slaa akiwa mgombea wa CDM alivyolalamika wazi kuibiwa kura zake? 2015 kina Nape mpaka wakawa wanatamba hadharani kupiga goal la mkono au umesahau? Unadhani kwaninj watu wanataka kuwe na Tume huru ya uchaguzi? Badala kuliangalia tatizo katika upana wake wewe unaelekeza matatizo yako kwa mtu mmoja.Sasa kama JPM ndiyo alikuwa tatizo katika uchaguzi si ameshakufa na tatizo limekwisha kuna haja gani sasa ya watu bado kuendelea kudai tume huru ya uchaguzi kama mawazo yako wewe ni kuona tatizo alikuwa JPM na si mfumo mzima wa jinsi uchaguzi unavyoendeshwa hapa kwetu.
Mkuu take it easy, rest and take a sip of cold water while we are waiting for the komfameshen of President Ruto win
 
Back
Top Bottom