Ngoja tuone lkn maana siasa hizi
Anything can happen
Ila yoyote akataye shinda,aelewe mchuano ulikuwa mkali
Syo nchi fulani mtu anashinda kwa 99% ,watu wanapita bila kupingwa
Ova
Safi sanaLuna kwaya mbili zimealikwa hapo,mmoja ni ya hapo Kenya na nyingine ni kutoka Tanzania
Rudisha hela ya Ruto we mzee😎😎😎😎Heshima kwako mkuu. Niko hapa napumzika break kwenye kubeba boksi. Frankly speaking Raila akishinda nitazimia. Kamwe Tena sitakihusisha na ushabiki kwa mambo yasiyonihusu. Ila Ruto akitangazwa mshindi kutalipuka na shangwe ya hatariiii Hadi Hawa wazungu hapa watashanga.
Ila nimesikia tayari time imeshamjulisha mshindi wa uchaguzi na amekaribishwa bomasi. Am sure he is Ruto Samoei.
WTF! Jesus mutu wangu intervine.BREAKING:
LATEST IEBC OFFICIAL TALLY: 289/291
1. Raila Odinga total - 7,042,162
2. William Ruto total- 6,986,717
2 constituencies to Go
Hakika nakwambia kaa karibu na glass ya maji baridi ya kunywa.Chebukati anakwenda kukushangaza leoHeshima kwako mkuu. Niko hapa napumzika break kwenye kubeba boksi. Frankly speaking Raila akishinda nitazimia. Kamwe Tena sitakihusisha na ushabiki kwa mambo yasiyonihusu. Ila Ruto akitangazwa mshindi kutalipuka na shangwe ya hatariiii Hadi Hawa wazungu hapa watashanga.
Ila nimesikia tayari time imeshamjulisha mshindi wa uchaguzi na amekaribishwa bomasi. Am sure he is Ruto Samoei.
It can't be it can't beRudisha hela ya Ruto we mzee😎😎😎😎
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]WTF! Jesus mutu wangu intervine.
Sifi kizembeeee
Bloggers wa Raila ndio wanasambaza haya matokeo.BREAKING:
LATEST IEBC OFFICIAL TALLY: 289/291
1. Raila Odinga total - 7,042,162
2. William Ruto total- 6,986,717
2 constituencies to Go
Zoeyaa sauti ya RAO kama Rais,zoeyaaaa ( kwa kiswahili ya Kenya)It can't be it can't be
Nasubiri tu utimize ahadi🤣🤣It can't be it can't be
Yani had wewe bushmummy from the same town unaniangushaNaombea Odinga ashinde
Mkaldayo dahAnd the President is__________
Dah jamani mmenikomaliaNasubiri tu utimize ahadi🤣🤣