Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Acha ubishi wametangaza hapa tunasikia huo ndo utaratibu. Anapigiwa mshindi, mshindwa na rais wa jamhuri.
 
Yote juu ya yote Rais wa Tanzania ni lazima kapewa matokeo na ili yatangazwe ni lazima aridhie ili kenya waendelee
 
Haya mambo mazito mtu mkubwa wa ndani huwezi ongea ovyo.
 
Hata website IEBCView attachment 2324474 yao updates iliishia hapa
Kwahiyo hiyo tofauti ya kura 5,000 tu ndo inakuaminisha kwamba Ruto ameshinda?

Halafu hujaona hizo ni kura za vituo na sio za nchi nzima?

Hii JF siku hizi imekuwa na watu wa ajabu sana.

Yaani kura 84,000+ ambazo zimeonesha Ruto ana 51% katika kituo cha kupigia kura ndo umesema inaonesha aneshinda?

Watu walikuwa wanapishana kura zaidi ya 200,000 katika kituo kimoja na bado mwingine anakuja kumpita.
 
Pale kwenye majumuisho kuna wakala mkuu wa kila mgombea.

Hivyo baada ya majumuisho wakala mkuu wa mgombea anampa status.
Hawaruhusiwi mkuu kufanya hivyo. Mwenye mamlaka hayo ni mwenyekiti pekee wa tume.

Hao mawakala wanakuwa chini ya uangalizi na ulinzi mkubwa wasitoe siri za uchaguzi.

Hayo mambo tunayaelewa mkuu. Ingekuwa hivyo basi hakuna haja ya mwenyekiti kuwa na matokeo ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…