Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
hizi dini zililetwa ili kututuliza waafrika..mbona kwayaa tu wanasogeza muda mbele alaf wanatutuliza na kwaya...anewei yuko wapi mzee ..naskia wana usalama wanamlazimisha aje bomaas hataki..kasema wazungu wote humo ndani aibu ataificha wapi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
unawaibisha wazanzibar wewe.
Au huna chogo?[emoji1787]
 
Mkuu nikukumbushe tuu...hii sio mara ya kwanza Raila kushiriki uchaguz wa kenya..legend haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…