Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
ok nimeona wapi kenya walikosea, kila kitu kuhusu uchaguzi wao ulikua vzuri, namna ya kupiga kura uwazi ule na kuonyesha kila event, wamebugi kipengele cha kutaka mwishoni wagombea wote kusaini form ya kukubali matokeo kisha ndo mshindi atangazwe. leo raila amegoma kusign zoezi haliendelei.
 
Sasa kwann asiwape kama sheria yao inaruhusu?...sasa unadhani nani afaa kutupa updates kwa kile kinachoendelea kama kuna sintofahamu?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Kufuatia Uchaguzi wa Kenya wa August 2022 ,leo tar 15/8/2022 tunataraji mshindi atangazwe lakini mpaka sasa kuna tetesi kwamba mgombea wa kiti cha urais Raila Odinga na jopo lake hawapatikani kwa ajili ya kutia saini matokeo.

yuko mwapi huyu mwamba?
 
Kwani lazima kusaini sijataka kusaini mimi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…