Hata humo ndani ya Ccm msimamo kwa makada wake ni mtihani.So kwa kuwa CCM imefanya mabovu kwa mda mrefu ,basi CHADEMA nae akifanya mabovu ni sawa sasa hayo mabadiliko yana hitajika ya nini wakati hamna utofauti na ndio maana 2015 zilikuwa zina shindana CCM A na CCM B.
Kutokupata support kusababishwa na wenyewe kwa kukosa kwao msimamo.
Hayana uzito kwako ila hatuna upinzani wenye msimamo na kujiamini na ndio maana unafikia mpaka hagua ya kutokuamini watu wake.Hata humo ndani ya Ccm msimamo kwa makada wake ni mtihani.
Upinzani wa Tz unakandamizwa na dola ndio maana unaonekana dhaifu hayo ya kukosa msimamo hayana uzito.
Labda haoni viziriJamaa anayetype kwa fonts kubwa ..punguza fonts size mzee
Mbona jiwe alishindwa kummaliza Lissu na risasi zote zile?Mkuu ukiwa Rais katika Nchi za Africa huwezi shindwa jambo,yani nawe unaamini kabisa kama angetaka kumua Ruto angeshindwa?
Hata huko Kenya vituo vingi vilikuwa vinamshabikia Raila; sasa sijui itakuwaje.Kuna wapuuzi walikuwa wanachambua kwenye television ya nchi Fulani hapa East Africa mpaka walikuwa wanamponda Sana Ruto yamewashuka mpaka aibu, mmoja akakimbia🤣🤣🤣🤣
Chanzo cha uadui wao mkubwa kiasi hicho ni nini?Hapa umeanza kuelewa sasa.
Kenyatta hakutaka kabisa kumuachia ofisi Ruto, angeweza kumuunga mkono ruto wala usingekua ajabu kwa kuwa ni mtu na naibu wake. Ila kwa kuwa ealishakua maadui wakubwa, Kenyatta Mara nyingi tu alitafuta namna kumuondoa ruto, Ila akashindwa.
Kenyatta huyu na BBI yake mbona alishindwa, Kama kweli alikua na hizo nguvu kiasi hicho
Acha kumpamba huyo mkalenjin mbona 2007 walishindwa kilain na Kibaki?Bosi unamfahamu Ruto?
Ukisikia hasla elewa ni hasla. Anaweza kuku injinia ushindi au anguko lako. Angalia historia yake ktk chaguzi za Kenya na upande anaokuwa yeye. Hebcan play dirty game. He can plan dirty, he knows dirty, dirty is his middle name. Na Nina shangaa Ruto ku act calm. Naamini alishajua mapema ushindi wake laiti angejua kuwa ameshinda then anafanyiwa rafu Ruto ange indirectly instigate problem
BBI ilikataliwa na mahakama si RutoHapa umeanza kuelewa sasa.
Kenyatta hakutaka kabisa kumuachia ofisi Ruto, angeweza kumuunga mkono ruto wala usingekua ajabu kwa kuwa ni mtu na naibu wake. Ila kwa kuwa ealishakua maadui wakubwa, Kenyatta Mara nyingi tu alitafuta namna kumuondoa ruto, Ila akashindwa.
Kenyatta huyu na BBI yake mbona alishindwa, Kama kweli alikua na hizo nguvu kiasi hicho
Wacha mbambamba mingi,angekubalika angekua mshindi.Kushindwa kwa RAO si kwamba hakubaliki bali ni mpambano ulikuwa mkali sana na Rais Ruto. Ndio maana ukiangalia margin ni ndogo sana
Elewa basi,BBI ilikataliwa na mahakama si Ruto
Okay DadaElewa basi,
Huyo alisema raisi akiamua jambo hakuna wa kukataa ndio nimemtolea mifano hiyo
Tulisema toka mwanzo hayaKusema kweli nilijua Odinga ndio atakuwa Rais, lakin Ruto ameonekana kuwa kipenzi cha wakenya wengi, kwa wengi wakiwa vijana.
Pakubwa alipokosea Odinga ni kwenye issue ga kubadirisha katiba ambayo ndio ilioenekana kuwa mkombozi wa waKenya.
Ruto the new president.
Kwamba mkuu na wewe unaamini kabisa Rais wa Nchi anaweza kuamua kukuua na akashindwa? Ukiwa unaishi hapo nchini?
Vipi nikikwambia hayo yalikuwa makubaliano ili kupata huruma ya wapiga kura na umeona mafanikio yake?😂
Kuhusu Edgar Lungu mkuu,hebu tofautisha kati ya mtu kuwa mpinzani wako kisiasa na
Kwa mchuano mkali kama huu wakenya wabadilishe katiba na kuwa na waziri mkuu ambaye atachaguliwa na wabunge na rais kuwa kama ceremonial leader. Ruto nampongeza ila naona ugumu anaokwenda kuupa kupitisha mambo yake bungeni na itakuwa ivo kama rais wengine wa kenya ambao watakuwa wanashinda kwa ushindi wa aina hii.
Hongera wakenya
We hujui siasa za Kenya yale maridhiano yalitokana na Nini. Pindi ile odinga alipaswa kuwa rais na alimshinda mwai kibaki lkn kibaki hakukubal kushindwa na akaiteka tumë ya uchaguz ikamtangaza yeye mshindi kibabeAcha kumpamba huyo mkalenjin mbona 2007 walishindwa kilain na Kibaki?
Tulikuwa pamoja toka uzi uanzishwe tukiona ruto is the 5th. One love Sana.Elewa basi,
Huyo alisema raisi akiamua jambo hakuna wa kukataa ndio nimemtolea mifano hiyo
Za ndani ndani ndaaaaaani kabisa Rao is the President ila za nje nje ni Ruto!