Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
bado mapema sana yaani kati ya kura elfu 46 ni kura elfu 12 tu ndo zilizowasilishwa kwahio hata nusu haijafika zikishahesabiwa angalau efu 25 mpk 30 ndo tunaweza kuona muelekeo ukoje
 
Hivi unafananisha ule upumbavu na huu uchaguz wa kenya
 
Haya mambo ya urais kunahitajika nguvu ya ziada kukubali kushindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…