Huoni wapo live wanatoa kulingana na IEBC?
Unahitaji tu 50% plus kura mojaRaila yuko 50% anatafuta 1%
Matokeo tofauti maana yake nn? Au unafikiri uongo unatokana vipi? Kama yangekua na ukweli wangewezaje hata kuhoj?Wapi wameuliza matokeo ya uongo? Si wameuliza matokeo tofauti??
informania.co.ke wameupload form 34A za matokeo kutoka kila kituo so far ni more than 98% ya form zote.
Ili matokeo yatangazwe form 34A zote zinapaswa kuwasilishwa physically makao makuu ya IEBC
Hizi ni baadhi ya form 34A za matokeo baadhi ya vituoView attachment 2320138View attachment 2320139
Anaongoza Ruto, hao citizen ni waongo
Provisional results ambazo zinaweza kubadilika. Hila uchaguzi huu presha tupu.Kila media inafanya update yake kwa vituo tofauti , ila mwisho wa siku matokeo ni moja
Si nilikuaambia usubiri?Si umesema tusubirie majumuisho ya mwisho na matokeo rasmi? Ulihiji utofautu wa matokeo Kwa Sasa, licha ya kuniita mpunbavu nimekua maoni yangu. Tusubirie mwisho wa zoezi.
Mbona unakuwa mkali hivyo,sote tumeangalia mtangazaji akitoa sababu ya kwanini matokeo yako tofauti kwa kila Media,hakuna sehemu amesema ni "matokeo ya uwongo" kulikoni kuita wenzio hawana akili?Matokeo tofauti maana yake nn? Au unafikiri uongo unatokana vipi? Kama yangekua na ukweli wangewezaje hata kuhoj?
HUNA AKILI
Una tatizo la akili?Countrywide pitia hapa uelewe mchakato unavyoenda.
Wote wapo nyuma. 98% ya kura tayari yapo kwenye portal ya iebc ila hao wote hakuna aliyefikia hata 10%Mkuu nimeangalia ntv hata mi sielewi ,nani yuko sahihi? Naona Citizen wapo nyuma
Si nilikuaambia usubiri?
You are right sirUna tatizo la akili?
Kama Hana akili nisiseme? Unammjua huyo niliyemjibu?Mbona unakuwa mkali hivyo,sote tumeangalia mtangazaji akitoa sababu ya kwanini matokeo yako tofauti kwa kila Media,hakuna sehemu amesema ni "matokeo ya uwongo" kulikoni kuita wenzio hawana akili?
So far more than 98% ya form ziko wazi kwa public ndo maana nayaamini matokeo ya CountrywideMh.Wafula Chabukati, Mwenyekiti Wa IEBC ameongea muda mfupi uliopita pale Bomas na amefafanua mambo kadhaa.Kuhusu matokeo ya Urais form 34A ambazo zinatoka kwenye vituo vya kupigia kura zinakuwa uploaded kwenye public portal.Hivyo Kila mmoja anaweza kujumlisha Ila mshindi atatangazwa na tume yenyewe.
IEBC ndo wenye ukweli. Hawa media wapo nyuma sana matokeo yao hata nusu ya kura zote hawafiki.Kura zote ni 14M+Wote wapo nyuma. 98% ya kura tayari yapo kwenye portal ya iebc ila hao wote hakuna aliyefikia hata 10%