Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Chebukati anasema hadi sasa ni more than 97% ya kura zimeishajulikana, na leo hawawezi tangaza matokeo wana siku saba za kufanya hivyo, na mshindi ni lazima apate 50%+1 na pia awe ameshinda 25% ya majimbo! na kwa mujibu wa Online Community Kenya, RAO ana kura 2,193,000+ na WISARU and 2,040,000+
Nkikusahisha apate 25%+ kutoka kwa atleast county(majimbo) 24 na sio zote na total vote ya 50%+1
 
Chebukati anasema social media wanatumia form 34S kutoa matokeo yao, fomu hizo hizo ndio nao wanatumia, hivyo ziko sahihi japo anasema social media ziko nyuma kidogo kwa sababu hadi sasa wao kama tume wameisha jumlisha 97% na matokeo wanayo....ila amesita kusema figure, so anasema social media waendelee tukoa matokeo ambayo pia kila mtu anaweza ku access kwa sababu yako kwenye public portal! what a transparect election in Kenya
 
Hizi media za Kenya nazo nadhani zimekaa kisiasa sana,ukiangalia KTN, Citizens na KBC kila mtu anarusha matokeo yake tu......hakuna uniformity......wanachosha tu kwakweli
Uniformity ndio inasababisha wizi. Kwa hapo Kenya walichofanya ni vizuri, kla mmoja atahesabu kura zake kisha watamsubiri IEBC kwa kutangaza matokeo ya mwisho
 
Chebukati anasema social media wanatumia form 34S kutoa matokeo yao, fomu hizo hizo ndio nao wanatumia, hivyo ziko sahihi japo anasema social media ziko nyuma kidogo kwa sababu hadi sasa wao kama tume wameisha jumlisha 97% na matokeo wanayo....ila amesita kusema figure, so anasema social media waendelee tukoa matokeo ambayo pia kila mtu anaweza ku access kwa sababu yako kwenye public portal! what a transparect election in Kenya
What a transparency???? Tunalakujifunza kwa Kenya kama nchi(Tanzania)
 
Kwa kuwa IEBC bado hawajatoa matokeo rasmi wanasubiri ile remained 2%...nafikiri hii tofauti ya kura inayojionesha kwenye vituo mbalimbali vya TV inatokana na tofauti ya kasi ya ku access hayo matokeo kwenye public portal, huenda Citizen Tv na Online Community Kenya wako na kasi nzuri ya ku access hiyo public portal kuliko NTV
 
Hizi media za Kenya nazo nadhani zimekaa kisiasa sana,ukiangalia KTN, Citizens na KBC kila mtu anarusha matokeo yake tu......hakuna uniformity......wanachosha tu kwakweli
Inategemea nani amerusha,most recent results. Lakini either way, Ruto anaongoza hadi sasa,kura zake zimezidi 2.5 million (52%).
 
What a transparency???? Tunalakujifunza kwa Kenya kama nchi(Tanzania)
Ndio tunala kujifunza hasa...kama kura zinaweka katika public portal ambayo raia wanauwezo wa ku access na kujumlisha kura ni uwazi wa juu sana! Na wameweka vizuri tu..jumlisha hizo kura lakini don't declare a winner! hiyo sasa ni kazi yao!
 
Back
Top Bottom