Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Kwa hiyo Odinga ndo anaelekea kushindwa hivyo?
Kulingana na matokeo yanayo kuwa displayed kuna nafasi kubwa RAO is the fifth..... if things stands the way they are now huenda Ruto akarudi Sagoi!
 
Mkuu Yani huko serious kabisa Raila atashinda? You guz are you pretending or what? I really don't understand your thinking capacity.
Unajiamini sana kwa Ruto angalia usijepotea jf bado tunakuhitaji ewe mabangi wangu cc Mchome🤣🤣🤣
 
Blue - majimbo ambayo raila anaongoza
Yellow - majimbo ambayo ruto anaongoza
IMG_163921_10822.jpeg
 
Mkuu nimeangalia ntv hata mi sielewi ,nani yuko sahihi? Naona Citizen wapo nyuma
Ngoja nikufafanulie Kidogo.

Kupata matokeo lazima uingie kwenye website ya IEBC upakue Form No 34A then uchukue Kura ujumlishe mwenyewe.

Utofauti wa matokeo kwenye vyombo vya habari unatokana na kwamba,Kila Chombo Cha habari Kinaweza kujumlisha matokeo ya vituo A,C,D,K,N,F wakati kingine kikijumlisha matokeo ya vituo A,N,X,D,P. Kwahiyo matokeo ya awali lazima yatofautiane kwasababu wamejumlisha Vituo tofauti. Matokeo ya mwisho ndio sahihi zaidi.
 
Hapa ndipo unapoona umuhimu kuvithibiti hivi vyombo vya habar maana mzaa mzaa inaweza leta taharuki na raia wakatifuana kwa kuamini kwamba wameibiwa kura
Upo sahihi sana,mi vimenivuruga mpaka nimeamua kutofuatilia tena.Kimsingi matokeo ilitakiwa kuwe na one source Kwa vyombo vyote vya habari
 
Upo sahihi sana,mi vimenivuruga mpaka nimeamua kutofuatilia tena.Kimsingi matokeo ilitakiwa kuwe na one source Kwa vyombo vyote vya habari
Source moja ndio mwa zo wa kupika matokeo wacha kila chombo kiripoti mwisho wa,siku wata.

Naomba nijuzwe vyamq qmbavyo viko chini ya umbrella ya Kenya kwanza na Azimio respectively
 
Back
Top Bottom