Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ukweli upi umbwa wewe, baba yako condom moja tu ingetosha kutokutuletea Ibilisi kama wewe kwenye ulimwengu wa wastaarabu.Huwa nawachapa bavicha ukweli tu, yanaumezaga kwa shida sana
Umeangalia lkn vituo vingapi bado!!???Ruto anaongoza kwa asilimia 52 na Odinga 46 kwa mujibu wa mahesabu ya Daily Nation. Hali imekuwa tofauti kwani zile zilizotegemewa kuwa zitakuwa ngome za Odinga haikuwa hivyo na amepata ushindani mkubwa sana kutoka kwa Ruto.
Bado vingi sana. Wanategemea kuna wapiga kura kama milioni 14, hivyo hapa hata nusu bado. Kwenye maelezo yangu sijamaanisha kuwa Ruto kashinda ila nimeelezea hali mpaka sasa ilivyo.Umeangalia lkn vituo vingapi bado!!???
umemaliza kazi. asante sana.Ukweli upi umbwa wewe, baba yako condom moja tu ingetosha kutokutuletea Ibilisi kama wewe kwenye ulimwengu wa wastaarabu.
Sura tu inaonyesha kilicho kichwani.View attachment 2320305
👺👺👺👺👺
shetani, Nunda mla kura za Chadema, Sheitwani wahediView attachment 2320305
👺👺👺👺👺
shetani, Nunda mla kura za Chadema, Sheitwani wahedi
Bomas ni wapi? Maana huko data zinaonesha Raila anaongoza... ninavyojua Bomas ni final control centre ya IEBC au nachanganya madesa?Ruto anaongoza kwa asilimia 52 na Odinga 46 kwa mujibu wa mahesabu ya Daily Nation. Hali imekuwa tofauti kwani zile zilizotegemewa kuwa zitakuwa ngome za Odinga haikuwa hivyo na amepata ushindani mkubwa sana kutoka kwa Ruto.
Sheitwani Blood bastard! hana aibu limejipanga kama vile ni mtu kumbe ni blood bastard sheitwaniView attachment 2320309
Shetani hana aibu
Umeandika kishamba Sana, haya mazalau yenu sio mda yatakuja watokea puani, eti failed state ,YAKO tuiteje died state auTanzania hatuwezi kukubali uchaguzi ukawa influenced na wahuni. Kenya hiyo ni failed state, kila mwenye vipesa anajiamulia tu.
Huku ni lazima CCM itengeneze serikali iwe kwa halali au haramu. Nakupa ukweli mchungu, umeze.
Iwe kwa halali au kwa haramu CCM ni lazima tuendelee kuongoza serikali.
Kama mtawala wenuwewe kama nani
Niliwahi kusema ninawachukua madunya, Ila wewe ntaanza kukupenda si una mtaro mzuri? Basi sawaUkweli upi umbwa wewe, baba yako condom moja tu ingetosha kutokutuletea Ibilisi kama wewe kwenye ulimwengu wa wastaarabu.
nani huyu? mbona una-post vitu bila maelezo?View attachment 2320305
👺👺👺👺👺
Ukweli mchungu huo na ushaumezaUmeandika kishamba Sana, haya mazalau yenu sio mda yatakuja watokea puani, eti failed state ,YAKO tuiteje died state au
Kenya wanaupika na kuukumbatia ukabila. Kama wanaruhusu Tv za kikabila kuruka hewani, nasikia wanaongea wanaweka THi Thi , sasa unakubali kuruhusu tv iongee lugha ambayo sio common kwa watu wote si watahamasishana uhasi kwa mafumbo ya lugha yao?Tuombe wa kenya ndugu zetu wasipigane mapanga kwasabb ata media houses zinegawanyika based on tribal and regional, zinaweza kua vyanzo vya uchochezi
Niende Mombasa kugundua nn? Si bora huo muda niutumie kuwappa elimu bavichaAsha ushamba wewe. Failed state?????umewahi kufika angalau Mombasa?
Itoshe kusema kwamba wewe ni papasi mweupe mwenye kichwa maji
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi NECnani huyu? mbona una-post vitu bila maelezo?