Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Bomas ni wapi? Maana huko data zinaonesha Raila anaongoza... ninavyojua Bomas ni final control centre ya IEBC au nachanganya madesa?
Kila source ina figures zake kulingana na wameshajumlisha ngapi. Hao IEBC ndiyo kwanza wanaanza kujumlisha japo wameshapata matokeo kutoka karibu sehemu zote
 
Bomas ni wapi? Maana huko data zinaonesha Raila anaongoza... ninavyojua Bomas ni final control centre ya IEBC au nachanganya madesa?
Hivi ikulu ya Kenya iko wapi ,kama yetu tunasema magogoni wao wana jina gani
 
Hivi ikulu ya Kenya iko wapi ,kama yetu tunasema magogoni wao wana jina gani
State House in Nairobi is located along State House Road, off Kenyatta Avenue close to Panafric Hotel in Nairobi. State House in Nairobi is located approximately ten minutes drive away from Nairobi City centre
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…