Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Anaacha kulilia shida zake za kuliwa na mbu, mazingira machafu yaliyojaa kipindu pindu, gharama kubwa za maisha na umaskini unaomkabili anamlilia Raila anayetoka kwenye Dynasties of zkenya!! Watanzania wengi ni viumbe wa hovyo sana.
Hata nikililia itabadilisha nn? Nyie mlio kuwa kwenye mzinga lambeni asali mtakavyo, tumeshawaacha mfaidi had mchoke,

Mtuache wengine tujifariji na vingine, kwanza mlisema tuhamie hata Burundi, ndo km hivi najikongojea Kenya. Mnaudhi sana nyie watu.

Mxxxxieeeeeeew!!!!!
 
Hata nikililia itabadilisha nn? Nyie mlio kuwa kwenye mzinga lambeni asali mtakavyo, tumeshawaacha mfaidi had mchoke,

Mtuache wengine tujifariji na vingine, kwanza mlisema tuhamie hata Burundi, ndo km hivi najikongojea Kenya. Mnaudhi sana nyie watu.

Mxxxxieeeeeeew!!!!!
Sonyo tu 😂😂😂
 
Hata nikililia itabadilisha nn? Nyie mlio kuwa kwenye mzinga lambeni asali mtakavyo, tumeshawaacha mfaidi had mchoke,

Mtuache wengine tujifariji na vingine, kwanza mlisema tuhamie hata Burundi, ndo km hivi najikongojea Kenya. Mnaudhi sana nyie watu.

Mxxxxieeeeeeew!!!!!

Itabadilisha sana tu we unafikiri demokrasia ya Kenya unayoifurahia unafikiri ilikuja kwenye sahani kama ubwabwa?

Oh yeah hata kipindu pindu na mazalia ya mbu unalalamikia walamba asali?

Hivi unajua Raila anatokea kwenye Dynasties community..... sasa unamlilia ili iweje?

Yesu alisema jililieni ninyi na watoto wenu....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Itabadilisha sana tu we unafikiri demokrasia ya Kenya unayoifurahia unafikiri ilikuja kwenye sahani kama ubwabwa?

Oh yeah hata kipindu pindu na mazalia ya mbu unalalamikia walamba asali?

Hivi unajua Raila anatokea kwenye Dynasties community..... sasa unamlilia ili iweje?

Yesu alisema jililieni ninyi na watoto wenu....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wee baba samahani, naomba niache, usinitafutie Ban buree usiku huu. Hayo unayotaka ukifanya wee inatoshaa.

Nipo na buzzy na Mzee Raila, usinitibue kabisaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wee baba samahani, naomba niache, usinitafutie Ban buree usiku huu. Hayo unayotaka ukifanya wee inatoshaa.

Nipo na buzzy na Mzee Raila, usinitibue kabisaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa busy kupalilia hizo nyasi na kufukia madimbwi ya hapo nyumbani kwenu. Ukimaliza lilia katiba mpya ili walamba asali wasikujibu jeuri ati uhamie Burundi.
 
Screenshot_20220811-021834.jpg
 
Wee baba samahani, naomba niache, usinitafutie Ban buree usiku huu. Hayo unayotaka ukifanya wee inatoshaa.

Nipo na buzzy na Mzee Raila, usinitibue kabisaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona uchaguz wa kwetu watu walikuwa haufuatili hivi [emoji1]

Ova
 
Kinachofanyika saivi ni FAKE FAKE FAKE.....wana add numbers tu na kubalansisha.. Ruto kashashinda zamanii
 
Back
Top Bottom