Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Mwisho wa siku Tume ndiyo itatangaza mshindi,hao wa NTV sijui Citizen wakimaliza kutally si wanatulia.Chebukati awalalamikie TV kwani hiyo ni kazi yao? Na kama anawalalamikia mbona mwisho wa siku anasema hayo si matokeo halisi.Watu mtakuja kushangazwa hapa na hamtoamini.Unafiri chibukati atangaza matokeo yapi tofauti na haya ya uchaguzi mkuu wa Jana ambayo ndo haya haya yanatangazwa na media?! Chibukati mwenyewe analalamikia media kuwa ziko nyuma sana wao EIBC washapata 98% ya matokeo ila wanasubiri hard copy zifike ili walinganishe yaliyotumwa kwa soft copy na hizo hard copy, na amesisitiza matokeo yanayotangazwa kwenye kituo yatabaki vilevile, na media ndo zinatangaza hayohayo ya vituoni.