Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa Kenya: William Ruto ashinda kiti cha Urais, apata 50.49% ya kura

Kenya 2022 General Election
Pigaaaa huyo Makamu Mwenyekiti wa IEBC, naona anataka kuleta umwagaji damu Kenya, pigaaa funga nyang'au kabisa huyo...
 
Makamu mwenyekiti IEBC, Cherera anataka kuleta vurugu nchini Kenya.. Chebukati ndio mwenye mamlaka ya kutangaza mshindi, sasa Ruto kashinda, ila sbb system haimtaki, Cherera anaanza kuleta vurugu, ila security organs ziko makini, naona hali imekuwa poa..

Rutooooo Rutoooooooo goo
 
Back
Top Bottom