Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
Kaingia kichakaniWapi Okwi Boban Sunzu????
matokeo yakibaki hivi hivi mpaka dk 90 itakuwaje ?, utaongezwa muda au matuta ?SUB Dk 85 Simba wanamwingiza Mavugo kuchukua nafasi ya Mo Ibrahim aliyeumia
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tanesco wamesepa na kijiji halafu katechno kamekata chaji hana la kufanyaOKW BOBN SUNZ KALALA MBELE, UPDATE BADO IPO DK YA 6 SIJUI ANACHEK RUNINGA UP SIDE DOWN?
0-0 dakika 92Matokeo VP wakuu mnaofatilia
Hili bonanza lina taratibu zake na wanazijua wenyewe wapemba. Usishangae wakasema tunaenda kwanza forodhani kula urojo then tunapiga tisini zingine.matokeo yakibaki hivi hivi mpaka dk 90 itakuwaje ?, utaongezwa muda au matuta ?
Yanga 0 - 0 mikia fcMatokeo VP wakuu mnaofatilia