Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Kosa kumtoa kaseke kumwacha msuva na niyonzimikia
 
Hivi tunaposhabikia hizi timu Simba na Yanga, ni mpira wanaocheza au desturi/mazoea?

Sioni mpira wowote unaochezwa ila pigapiga tu!!
 
Uwiiiiiii uwiiiiiii nakufa jamani!
Najuta kwanini sijala mpaka sasa hivi!
Sijui....labda Mungu tu atusaidie.
Mh bora ushindwe kula ili uishi ila nkisikia umeukata kwa presha ntasikitika sana kupoteza nguvu kazi ya taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…