mkunga4546
Member
- Sep 17, 2014
- 44
- 21
Kama ktk ndoto sawa....lakini kama kwa mechi ya leo yanga lazima anyolewe bila maji.Yanga kula hao simba
Nimepata hasara tu pasi hovyo mipira minazi hakuna burudani watu tunashangilia ushabiki tu. Nitakupa Matokeo mkuu naona wewe kama yanga vileNini tathmini yako??
Goooooooooooooooooooooooooooooooooooolaaa
Mechi ya simba na yanga hamnaga burudani, kupaniana kwingi!!Nimepata hasara tu pasi hovyo mipira minazi hakuna burudani watu tunashangilia ushabiki tu. Nitakupa Matokeo mkuu naona wewe kama yanga vile
Hata mimi namshangaa huyu anakimbilia kuanzisha uzi wakati sio mdau wa jukwaa la sports, nadhani atakuwa busy kwenye jukwaa la wakubwaNgapi Ngp? Sijui Aliyeanzisha Uzi Anafanyaje! Hakuna Update Wala Nini? Nyambafu