Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Dk 45, Kipindi cha pili kimeanza na inaonekana suala la hofu kwa wachezaji bado limejaa
 
Ngapi Ngp? Sijui Aliyeanzisha Uzi Anafanyaje! Hakuna Update Wala Nini? Nyambafu
Hata mimi namshangaa huyu anakimbilia kuanzisha uzi wakati sio mdau wa jukwaa la sports, nadhani atakuwa busy kwenye jukwaa la wakubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…