November 15, 2019
Tanzania 2 : 1 Equatorial Guinea
Dakika 90' + 4 za nyongeza = 95' Full time mpira umekwisha hapa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Magoli ya Tanzania Simon Msuva 68' na Abubakar Salum 93' huku Equatorial Guinea likifungwa na Obiang'.
Hali ilivyokuwa kwa dakika:
Dakika 68'
Goal ! Simon Happygod Msuva awanyanyua vitini waTanzania kwa goal safi kabisa uwanja wa Taifa Dsm
Goal ! Abubakar Salum dakika ya 93' shuti lake kali yaipatia Tanzania pointi zote tatu.
Tanzania 2 : 1 Equatorial Guinea
Super Coach wa Tanzania Etienne Ndirangiye na wa Equatorial Guinea walambishwa kadi za njano dakika ya 95' ktk mchezo huu kuelekea fainali huko Cameroon 2021.