Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Timu ya taifa ya Tanzania imeanza vyema kutupa karata yake ya kufuzu michuano ya AFCON 2021 kwa kuifunga timu ya Equatorial Guinea kwa bao 2-1.
Katika mchezo huo, Equqtorial Guinea ndio walikuwa wa kwanza kupata goli dakika ya 15 ya mchezo kupitia kwa mchezaji Pedro Obieng, wakati Stars walipata magoli yao kipindi cha pili ambapo dakika ya 68 nyota Simon Msuva aliipatika Tanzania goli la kusawazisha kabla ya Salum Abubakari "Sure Boy" kufunga goli la ushindi kunako dakika ya 90.
Mpaka kipyenga cha mwisho kinapulizwa Stars 2 na Equatorial Guinea 1. katika mchezo unaofuata Stars atakutana na timu ya Taifa ya Libya.
Katika mchezo huo, Equqtorial Guinea ndio walikuwa wa kwanza kupata goli dakika ya 15 ya mchezo kupitia kwa mchezaji Pedro Obieng, wakati Stars walipata magoli yao kipindi cha pili ambapo dakika ya 68 nyota Simon Msuva aliipatika Tanzania goli la kusawazisha kabla ya Salum Abubakari "Sure Boy" kufunga goli la ushindi kunako dakika ya 90.
Mpaka kipyenga cha mwisho kinapulizwa Stars 2 na Equatorial Guinea 1. katika mchezo unaofuata Stars atakutana na timu ya Taifa ya Libya.