Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Walete walete
2c59e7add527c3d2d737fc8bc8469cfb.jpg
 
Mikia FC wamekimbia, kabaki Katavi tu. Nampongeza Katavi kwa ukomavu huu wa kisoka
Katavi ndio wale wanaoingia uwanjani na nazi
....yaani baada ya kuja tu kwenye thread MBC wakarudisha...ila tumemdhibiti kwa ndimu na vitunguu swaumu....
 
Katavi ndio wale wanaoingia uwanjani na nazi
....yaani baada ya kuja tu kwenye thread MBC wakarudisha...ila tumemdhibiti kwa ndimu na vitunguu swaumu....
Hahahaha. Wana kazi sana hawa. Leo MBC wangeshinda mikia wangetusumbua sana huku mitaani.
 
Back
Top Bottom