[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Anadhani anavyoingilia kazi za Ma meya na wenyeviti wa mitaa ndio kila mahali. Pale anaweza kuharibu jambo waka mzabua kofi bure! Kwenye suala la usalama hawatambui mkuu wa mkoa ni nani.
[emoji87] [emoji87] [emoji13]Unamaanisha ulitakiwa uwe msumari mmoja?
Anaitwa afande KiwiJamani balotel katisha sana kwenye hili kwata lakimya kimya
HahahahahaahaahahahBasi bwana yakaletwa matofali yavunjiwe kichwani na kifuani, nyundo moja tuu kuleee! Kilichonifurahisha si tofali kuvunjika bali tofali kugeuka kama mchanga au unga. Wanaojua ujenzi wamenielewa hapo.
Tofali la kweli ukilipiga nyundo linavunjika sio kupukutika. Abrakadabra ya wazi hiyo, tusifanye komedi mpaka jeshini.
Hahahaha!, alivuja damu balaa!, akaja Na kaulimbiu ya "Damu ya Chama!".
Hahahaa mkuu umenikumbusha mbali sana kina Mbigili na Mwl Mtitu aka "alilia" hawa ndio walikuwa wafia chama siyo hawa lumumbaboys wa leo full comedyHahahaha!, alivuja damu balaa!, akaja Na kaulimbiu ya "Damu ya Chama!".
Wale "maadui" zetu waone,hatutaki mchezo mchezo!
Nimeishi nao wakati nabukua makongo,kila nikiwaona hao namkumbuka afande Miraji na Chacha!
Jamaa mweusi kama katokea Sudan kusiniAfande Kiwi nae sio haba
Baada ya Muungano,Tanganyika ikawa Tanzania Bara.
Hawa jamaa wametisha.Ujumbe wa Maadhimisho haya ulipaswa kuwa : KWATA YA KIMYAKIMYA!
Poleni sanaMbagala tanesco wamechukua umeme wao na leo uhuru duh,
Kuna siku,nakumbuka ilikuwa ni jumatatu,sasa utaratibu ulikuwa ni kuwa daladala zote zinazopita hapo haziruhusiwi kushusha mwanafunzi,option ilikuwa ni ama yawashushie mwenge au kona ya kawe!halafu wanafunzi watembee kwa mguu toka mwenge mpaka makongo au kawe mpaka makongo!sasa kuna siku konda mmoja alijichanganya akatususha makongo badala ya mwenge!halafu siku mvua ilinyesha!sasa wajenda walichofanya ni kuipiga basi mkono!waka walaza dereva na konda uwanjani pale yanakopaki magari!bahati nzuri siku hiyo mvua ilinyesha!sasa kulikuwa na vidimbwi kama mia hivi kwenye hio parking lot!sasa ile parking lot ni kama kiwanja cha mpira mmoja!sasa,konda na dereva wakaambiwa wapige mbizi!ahahaha!yale madimbwi yalikuwa kama yana urefu wa inchi moja hadi tano kwenda chini!waliogelewa toka saa nne hadi saa nane tunaenda nyumbani!Tupe kidodo muhtasari
Mkuu hivi polisi wapo kweli?