Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Anadhani anavyoingilia kazi za Ma meya na wenyeviti wa mitaa ndio kila mahali. Pale anaweza kuharibu jambo waka mzabua kofi bure! Kwenye suala la usalama hawatambui mkuu wa mkoa ni nani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Basi bwana yakaletwa matofali yavunjiwe kichwani na kifuani, nyundo moja tuu kuleee! Kilichonifurahisha si tofali kuvunjika bali tofali kugeuka kama mchanga au unga. Wanaojua ujenzi wamenielewa hapo.
Tofali la kweli ukilipiga nyundo linavunjika sio kupukutika. Abrakadabra ya wazi hiyo, tusifanye komedi mpaka jeshini.
Hahahahahaahaahahah
 
Wale "maadui" zetu waone,hatutaki mchezo mchezo!

Nimeishi nao wakati nabukua makongo,kila nikiwaona hao namkumbuka afande Miraji na Chacha!

Huyo Kiongozi wao Luteni Mrope nakumbuka nilikutana nae mwaka juzi maeneo ya Ubungo akiwa anatokea Viwanja vya sabasaba kipindi kile na wao walipokuwa wameenda pale na nilipeana nae mkono tu kwa kusalimiana kwakuwa mdogo wake ni mshkaji wangu mno lakini yale maumivu ya ile salamu yetu ya kupeana nae mikono ambayo yalidumu kwa wiki mbili ilifanya tu niamini kuwa hawa Makomandoo siyo watu wa sports sports. Ngoja nijiandae leo jioni kwenda kunywa bia za bure Lugalo kwani najua Komando Luteni Mrope lazima atasababisha tu. Kuwa na Marafiki Makomandoo raha sana kwani huonewi kijinga kijinga na Masela.
 
ungeweka hao wa kenya kidogo tungaweza linganisha, nacho fikiria kwenye maonesho huwa hauoneshi silaha za kisasa ama mafunzo ya juu zaidi ndo maana jamaa wameonesha ya kawaida
 
Tupe kidodo muhtasari
Kuna siku,nakumbuka ilikuwa ni jumatatu,sasa utaratibu ulikuwa ni kuwa daladala zote zinazopita hapo haziruhusiwi kushusha mwanafunzi,option ilikuwa ni ama yawashushie mwenge au kona ya kawe!halafu wanafunzi watembee kwa mguu toka mwenge mpaka makongo au kawe mpaka makongo!sasa kuna siku konda mmoja alijichanganya akatususha makongo badala ya mwenge!halafu siku mvua ilinyesha!sasa wajenda walichofanya ni kuipiga basi mkono!waka walaza dereva na konda uwanjani pale yanakopaki magari!bahati nzuri siku hiyo mvua ilinyesha!sasa kulikuwa na vidimbwi kama mia hivi kwenye hio parking lot!sasa ile parking lot ni kama kiwanja cha mpira mmoja!sasa,konda na dereva wakaambiwa wapige mbizi!ahahaha!yale madimbwi yalikuwa kama yana urefu wa inchi moja hadi tano kwenda chini!waliogelewa toka saa nne hadi saa nane tunaenda nyumbani!
 
nasikia hata SCORPION anayajua mapigo kama hayo ndio maana hata watu wakiwa 20 anawapga wote
 
Kwata ya kimya kimya nionayo kwakweli inanipa raha, vijana wapo sawa haswa. Wale makomando haikuwa burudani kabisa
 
Back
Top Bottom