Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Hazikuwa na shamra shamra kama tulivyozoea, nyuso za waliohudhuria zilikuwa hazionyeshi bashasha yeyote hadi mshereheshaji akawa anawakumbusha kumpungia mkono rais.

Wananchi walikuwa wamenuna, viongozi walikuwa wamenuna hata wageni waalikwa nao walikuwa wamenuna.

Nafikiri rais aliliona hili hadi kupelekea kuzihamishia Dodoma kutoka kwenye uwanja wa Uhuru zilipozinduliwa 9 Dec 1961.
 
Hapo humtendei haki, labda hukuwa mfuatiliaji wa sherehe zilizopita kwa wakuu wa mikoa walio mtangulia, uzoefu wa ufuatiliaji wangu ni kuwa sherehe zote za kitaifa zinapo fanyika ktk mkoa, ambazo zitahudhuriwa na wakuu wa nchi hapo mkuu wa mkoa huwa ndio mwenyeji wa sherehe hizo, hivyo basi ndio mkuu wa itifaki na huwa anawajibika kupokea wageni, niliyaona hayo tokea enzi za uongozi wa mzee makamba na wengineo. Nawasilisha
 
Hongereni sana kwa kutimiza miaka 55 ya uhuru nchi isiyokuwa na umeme na wala maji safi. Uhuru usiokuwa na maana yoyote ile.


 
Licha ya Changamoto zetu kama Taifa,na Mafanikio yanayotajwa Lazima Kuulinda na Kuuenzi Uhuru Wetu Pia Kuakisi Tunu zake [HASHTAG]#55UHURUTanzania[/HASHTAG]
 
Kweli kuhamia Dodoma ni bad newz kwa wakaz weng wa DSM.
Ila hakuna namna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…