RAISI MPYA
Member
- Jan 30, 2014
- 76
- 14
mgao wamesha pata cha kufia nnHawa nao wanacheza ngoma zakitamaduni wakati wamevaa mawigi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mgao wamesha pata cha kufia nnHawa nao wanacheza ngoma zakitamaduni wakati wamevaa mawigi
Afande Miraji Muhombolage hakuna mfano ake bhana. Yuke jamaa enzi zile pale Makongo alikuwa mwanaume wa shoka.Mkuu,usisahau kupita na pale Makongo,even though,afande Miraji is no more,umwage hata mvinyo pale nje kwa heshima yake!
Makomandoo wajipange Upya,Ubunifu umewashinda.Kwa makomandoo sijaona jipya ila kwata ya kimya kimya imetisha ile mbayaaaa
Hahah. Mkuu ben yuko wapi?
Tatizo mkuu ni kuwa ulipoona makomandoo na kwa kuwa wewe u mwizi wa demu wake basi woga ukakujaa. Chunguza kidogo ukiipata hiyo clip kuhusu hayo matofali. Au chukua clip ya sehemu ya matofali mwonyeshe fundi ujenzi akuambie hayo matofali ambayo yakipigwa nyundo moja badala ya kuvunjika yenyewe yana mengenyuka na kugeuka unga ni vipi?Baada tu ya kumaliza kuona demo ya Makomandoo iliyoisha hivi punde nimeamua rasmi kuachana rasmi na Demu wangu mmoja ambaye Bwana wake nae ni Komando. Bado nayapenda sana maisha halafu sioni sababu ya Mimi kuteseka wakati muhusika mwenyewe tu kaweza kuivumilia misumari kama 200 imchome mgongoni mwake huku wenzake wakimtimba na kumkanyaga na Jamaa kaamka akiwa yupo fiti tu. Sasa sijui akinifumania nae Demu wake atanifanyeje! Mpenzi wangu nakupenda sana ila Mumeo Komandoo huyo anapendwa zaidi na misumari na yale matofali hivyo isiwe taabu / shida tuachane tu tafadhali.
HahahaaaHawa nao wanacheza ngoma zakitamaduni wakati wamevaa mawigi
Uchanguzi ndio nini?Uzi unatembea utadhani ni matokeo ya uchanguzi wa Zanzibar
Wametisha aisee....Kwata ya kimya kimya imeiba shoo
GENTAMYCINE Yupo Kambi ya Malindi atakuwa anajua Ben Yupo Wapi.
Weka hili bandiko juu ya updates zako pale juu. Unaweza ukaula!Ujumbe wa Maadhimisho haya ulipaswa kuwa : KWATA YA KIMYAKIMYA!
Kaitendendea haki kwato [emoji2] [emoji2] na kiuno [emoji3] [emoji3]Anakata kiuno balaaa..
Wajingw wenzako ndo watakaokupa likeHivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.