Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Mkuu,usisahau kupita na pale Makongo,even though,afande Miraji is no more,umwage hata mvinyo pale nje kwa heshima yake!
Afande Miraji Muhombolage hakuna mfano ake bhana. Yuke jamaa enzi zile pale Makongo alikuwa mwanaume wa shoka.

Mungu amrehemu huko aliko. Ni miaka 10 sasa baada ya kifo chake sidhani kama pengo lake limezibwa.
 
Angalau hawa jamaa wa kimya kimya wamenirudisha kwenye mood maana vile vikosi vya kawaida leo walikuwa wamepoa sana...
 
Baada tu ya kumaliza kuona demo ya Makomandoo iliyoisha hivi punde nimeamua rasmi kuachana rasmi na Demu wangu mmoja ambaye Bwana wake nae ni Komando. Bado nayapenda sana maisha halafu sioni sababu ya Mimi kuteseka wakati muhusika mwenyewe tu kaweza kuivumilia misumari kama 200 imchome mgongoni mwake huku wenzake wakimtimba na kumkanyaga na Jamaa kaamka akiwa yupo fiti tu. Sasa sijui akinifumania nae Demu wake atanifanyeje! Mpenzi wangu nakupenda sana ila Mumeo Komandoo huyo anapendwa zaidi na misumari na yale matofali hivyo isiwe taabu / shida tuachane tu tafadhali.
Tatizo mkuu ni kuwa ulipoona makomandoo na kwa kuwa wewe u mwizi wa demu wake basi woga ukakujaa. Chunguza kidogo ukiipata hiyo clip kuhusu hayo matofali. Au chukua clip ya sehemu ya matofali mwonyeshe fundi ujenzi akuambie hayo matofali ambayo yakipigwa nyundo moja badala ya kuvunjika yenyewe yana mengenyuka na kugeuka unga ni vipi?
Utagundua kuwa hata wewe waweza kuwa komandoo. Hayo ni yale ya Ratio ya Mfuko 1= tofali 200
 
Mpaka sasa,Kikundi cha Kwata Kimefunika Bovu!Hakuna Gwaride wala Makomandoo!Tisha Sana Kamaa 255 Champiöi Boy Mbwana Samata...aaaah!
 
Nilipo fika jkt ndo nikagundua Maharage siyo nyama, wana roho mbaya sana hawa watu, lakin ukianza kulia na kibano kiki kukolea wao wanaanza kufurai. Sasa ww jifanye nunda huumii, jamaa yangu alivunja mbavu
 
hizi ngoma za asili kweli au ni mapichapicha tu maana sielewi
 
huenda leo majeshi yakaonyesha uwezo wa hali ya juu ili mkuu asije akafuta tena sherehe za uhuru...
 
Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
Wajingw wenzako ndo watakaokupa like
 
Back
Top Bottom