Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipokufa Miraji na Kipingu Kuondoka Ndio Ikawa the Beginning of the End of Makongo!Afande Miraji Muhombolage hakuna mfano ake bhana. Yuke jamaa enzi zile pale Makongo alikuwa mwanaume wa shoka.
Mungu amrehemu huko aliko. Ni miaka 10 sasa baada ya kifo chake sidhani kama pengo lake limezibwa.
Kumbe show off yao inategemea chadema.
Mama janeth nae yuko wapi?Anamaliza kwanza na Waburundi katika suala zima la kutafuta Amani kwani anaona wanampa tu headache kwa matatizo yao yasiyoisha kila kukicha.
Wewe kuna mbegu unazopandaHapa ipo shida, Rais akiwa mkoani mbona wanapanda gari moja na RC?
Yah! wametisha kinomaWametisha aisee....
Nazungumzia kikosi cha komando ambacho kimeonyesha sarakasi na karate uchwara
Dah... unataka chura waingie?[emoji13] [emoji13]Hawa wanyakyusa na ngoma zao za asili bora wamalize tu
Kaka, ndiyo ushangae! Na cha kuhuzunisha zaidi watoa sifa wa mtukufu rais hutowasikia wakizungumzia hili. The guy is so inconsistent, a typical trait of a populist.he! leo hakuna kubana matumizi..?
Sindimba hiyo mzeeHawa wanaokata mauno kwanini basata hawawafungii?!
Naomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?
-Huoni hata wacheza ngoma wanavyovitendea haki viuno vyao.huenda leo majeshi yakaonyesha uwezo wa hali ya juu ili mkuu asije akafuta tena sherehe za uhuru...
Atam.tweet tuTrump si walisema atakuja