Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Ayaa, salamu za kidini tena. Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristu???????. Nani kamfundisha rais haya mambo? Marais waliopita wslisalimia tu, Asalam Aleikhum. Hiki ni kiswahili wala suo salama ya kidini! Kama wanataka kutoa salamu za kidini basi amalizie hiyo salamu ili iwe ya kiislam sawia! Yaani iwe Asalaam Aleikhum wa rahma tulah wataala wa Barakatul.
Why salamu za kidini? Tumsifu Yesu Kristu? Bwana asifiwe? Why? Mbona Mwalimu hakuwahi kufanya haya mambo?
Hili halina maelezo ya ziada zaidi kuashiria ufa mkubwa wa kidini uliopo sasa! Please stop this! Inaamsha hisia za kidini bila sababu yoyote. Tafadhali viongozi wakuu wa chini yetu epukeni kuweka vionjo vya kidini kwenye hotuba zenu!
 
JPM: maji yapo umeme bara bara
-nchi imesaidia mataifa yaafrica kupata Uhuru.
 
Mkuu anasema Mwinyi kamwambia awe na wake wawili ili aishi miaka mirefu. Huku ni kumfulastrate mama
 
siri ya kuishi muda mrefu ni kuwa na wake wawili siri kutoka kwa mzee mwinyi 😀😀
 
Leo hamna ubwabwaa via State Banquet... Hivi hii ni niniii....
I agree bana matumizi buuuht mwee japo watu walage kidogo mweeh
Dah...sijui itakuwaje leo...maana wengine hatukujiandaa kabisa[emoji13] [emoji13]
 
Stori za kubana matumizi zimeishia wapi!?
Kwani story ya uzuiaji wa Sukari Iliishia wapi?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umenikumbusha katibu tarafa mmoja pale Iringa aliitwa MBIGILI alikuwa na kiherehere sana.Mwaka 1987 alikuja Rais mzee Mwinyi pale kiwanda cha Tancut basi mzee Mbigili akataka kuwahi kumfungulia mlango wa gari Rais,kwa kasi ya umeme hatukuona kilichotokea ila tulimshuhudia Mbigili amelazwa chali pembeni ya barabara akiwa hajitambui/amezimia

Ilikuwaje?
 
Siri ni kuwa na wake wawili.....Dah mzee wa upako ameleta problem!!!!!!!!.JPM amependa hilo wazo.
 
Mkuu hebu suala la mke na watoto linakuja vp hapa au unataka ww uwe ktk hizo position ulizotaja?
 
Back
Top Bottom