Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
interestingWameongeza hela ya mikopo alafu wanafunzi hawana mikopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
interestingWameongeza hela ya mikopo alafu wanafunzi hawana mikopo
I hope anmaanisha hivyo ....................!!Rais Magufuli: Tutajihidi kutatua kero zenu kwa uwezo wetu wote bila kubagua mtu kwa dini yake, kabila lake au chama chake.
Hapo ndio utaona nafasi ya Lyatonga Mrema1.Tulizoea siku kama ya leo,misamaha ya wafungwa ikitolewa,au maofisa wa magereza wamesahau kupeleka orodha ya wafungwa wanaostahili kupata 'msamaha wa Rais'?!.
2.Kuwa na viongozi wastaafu kwenye sherehe ni ishara njema kwa taifa,kuwa na mshikamano,mashauriano na kuonyesha kujali busara na ushauri wa wazee na wastaafu!
Nawaza kwa sauti tu,,,,Kauli ya mange kimambi=kutokuwepo kwa mama Jesca=kauli ya mkuuMama "Jesca" nimekukumbuka ghafla.. Kwema huko ulipo..??
Njia nayo pita ndiyo anayotumia magu unaweza kutoka tukakaa kaa sana folenikwani wamezuia barabara?
Mtukufu hataki mambo mengi...Naona Magufuli amebana matumizi kwa kumuacha mke wake ikulu. Sijui atakuwa kaokoa shilingi ngapi za wese!
Nilitoka kidogoMkuu hujamsikia Mkula akimsifia..??
Utasaidiwaje bure wakati wenzio shuleni tulilipia adanini maana ya haya maneno
ITIFAKI na PROTOKALI....
yani huwa yananifikirisha sana,, ! ni haihitaji shule ya darasani, naomba maana yake hapa..wakuu.
Ni kwa usalama tu. Hata viongozi wa mihimili mingine ya Dola kila mmoja wao huwa na gari lake na ulinzi. Leo kwa mara ya kwanza Mawaziri na Manaibu wao pamoja na Makatibu wakuu wamepanda mabus madogo maalumu kwa pamojaHivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
" Kunywa haya maji mwanangu..."Mama na baba yako wanajua?
Basi sawa. Ila number utaisoma tuHebu tuache utani, hivi kama Lowasa angeweza kweli kuvumilia vishindo vya mizinga hii kweli? Mungu ametupa rais imara sana, asante Mungu
Sasa kama mtu hana uwezo wa kuyatatua atayaongeleaje?wewe lofa nani kakwambia kuongelea matatizo kila muda ndio njia ya kuyatatua?
Dar joto sana, nadhani atakuwa NY kupata breakfastJamani mbona kipenzi chetu JK hayupo?
AmesafirHata mama mkubwa sijamuona.
Hizi mambo zinahitaji ujuaji zaidi.Kwani hujawahi kuona rambirambi ikichangishwa kwenye misiba ya matajirimbona inatembeza mabakuli ya kuomba msaada..?