Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yupo kwenye ile wodi yenye jina la kihindi nimeisahau kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mi nakwambia huyu first lady ni moja ya wanawake jasiri na mvumilivu, yaan Magufuli yuko madarakani mwaka mmoja tu watu washa mchoka, ila yeye kaish naye miaka 30 nyumba moja, mumuache tuu mama kwa kweli.
 
Mlipouliza kwanini haonekani kwenye kampeni kama Mama Regina mlijibiwa ''Kwanini mnamuulizia mke wa mtu?''

Sasa mmeanza kuhoji kwanini hakuonekana kwenye sherehe za uhuru?....Nadhani mwenye pumzi hana jibu na mwenye jibu hana pumzi ya kujibu.
 
Ati alibeba ndoo za mchanga tipper zima kuhamisha watu jaman
 
Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
kiboko mama mr clear mzee alipoanza ugomvi tu akachukua sturi na kumtwanga kwenye miguu baadae ikasemwa kuwa anasumbuliwa na miguu kwa ajili ya kula nyama za mbuzi
 
4e57e3f6815a6ec06f55350da0e57093.jpg
Hii mambo iliondolewa humu JF. Naona unairejesha, sijui kama itachukua muda kabla hawajainyofoa. Tunapenda sana kuisoma
 
Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!

Mkuu wewe ni daktari Muhimbili? Ulimuuguza Jane Sewa haji? Au umekariri ukipigwa au wanaopiga wanapiga usoni na kichwani tu? Kwasisi wenye uelewa na uzoefu wa kuwatandika akina Jane tuna sehemu nyingi sana za kuwajeruhi na msione
 
Back
Top Bottom