lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Uliwahi kumsikia hata siku moja akiyazungumzia mahusiano ya mke na mume katika hali ya wema?Kuna Tatizo Kubwa Sana kwa Sizonje Kuhusu Uhusiano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwahi kumsikia hata siku moja akiyazungumzia mahusiano ya mke na mume katika hali ya wema?Kuna Tatizo Kubwa Sana kwa Sizonje Kuhusu Uhusiano.
Ivi bado wanakamataMillion saba?
Unazijua Pressure Points Kwenye mwili wa binadamu ? Inaonekana wewe ndio muongo sababu unabisha kitu ambacho hujui! Tumia muda wako wa ziada kujisomea ili uelewe mambo.Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Mwacheni apumzike.Katika watu ambao huwa napata amani nikiwa waona ni firstlady wetu kipenzi mama Janeth . Ila Leo sijamuona uwanjani kitu ambacho kimenipa huzuni ya moyo.
Jana kasema amepewa ushauri na msee mwinyi...Uliwahi kumsikia hata siku moja akiyazungumzia mahusiano ya mke na mume katika hali ya wema?
Umemfunua mwili wote??Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Inategemeana mtu amepigwa sehemu gani mkuu.Acheni uongo wa huyo kimambi, tangu lini mtu akapigwa hadi kuzirai halafu hana majeraha!? Uongo mwingine bwana!
Sema wako, acha sweeping statements!Katika watu ambao huwa napata amani nikiwa waona ni firstlady wetu kipenzi mama Janeth . Ila Leo sijamuona uwanjani kitu ambacho kimenipa huzuni ya moyo.