Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Mwenyekiti wa Simba ndiyo nani vile?.Nadhani tukimjua huyu na sifa zake tunaweza pata jibu la Udhaifu wa Simba ya mwaka huu.
 
Chanongo anajaribu......Goal kick

Simba wanafanya sub...

Said Hamis anambadili Haruna Chanongo....Homoud anatoka anaingia William...
 
Watani naweza kuwapongeza kabla ya mechi haijaisha?
 
Simba wanawaiga manchester united kwa kubali kufungwa kirahisi namna hii
 
Mtu mzima Chuji katulia sana leo...


Dakika ya 50


Simba 0-3 Yanga
 
Simba naona wametulia sasa......

Wanashambulia.....Goal kick
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…