Nani yuko juu ya mwenzie after this match mtani?wamepata sare kelele tupu!
Wote hutoka nduki tu nakumuacha peke yake aki tamba. Mumeni furahisha kweli.aungurumapo ucheza nani??
Shabiki wa timu gani?Nimemuona mbowe uwanjani katulia
Masuke.............Unashangilia sare??????????Ki ukweli nyie mna huzuni zaidi kwa sasa kuliko sisi, yaani ni kama Simba tumeshinda kwa jinsi tulivyokuwa tumenyong'onyea wakati mnaongoza tatu bila,na mlijua mechi ishaisha, wewe unafikiri kurudisha goli tatu kazi ndogo? ukuta wa zege unazidi kutobolewa tu bora sisi na timu yetu ya kuunga unga tunazidi kuweka rekodi ya kuwa miongoni mwa timu tatu ambazo hazijafungwa hadi sasa.
Wachezaji wa yanga wamekimbia,hawataki kabisa kuzungumza na media!du aibu sana.kiufupi simba ndo wameshinda hii mechi.
Wapi huko walizima?yani mpira unakwisha, tanesko ndio mnarudisha umeme, aaaagrr
Simba madume wewe....hata kama hujapenda ukweli ndo upo hivyo...ila pole saanaaisee sijapenda hii mechi ilivyoisha,yaani simba wamepangua goli 3.ama kweli kutangulia si kufika
Azam &Mbeya cityNani yuko juu ya mwenzie after this match mtani?
Nadhani wewe umeanza kushabikia juzi.....Una habari Yanga wamewahi kuchomoa mechi na Simba Sheikh Amri Abeid Arusha matokeo yakawa 4-4......Yanga wametia aibu jamani, yaani Mnyama kachomoa magoli yote 3! Haijawahi tokea namna hii. Ama kweli Yanga ni dhaifu! Hata hivyo nawapa hongera watani wa jadi, raha ya mpira magoli.
Kinachonisikitisha ni hawa watoto wa Simba kuwadindia watu wazima kinatisha, raundi ya pili watakuwa wameshapevuka na huenda Yanga wakalizwa.
# 3 points clear wametolewaje kileleni?we endelea kujipa moyo...nadhani umesahau kuwa ndio mshatolewa kileleni hivyo...
Wewe na ACCOUNT FULL ban zinawahusu.Yanga hamjanitendea haki kabisa siku ya leo.
Eti simba madume,mngepigwa tatu dk 45 za mwanzo?kwa hiyo mmefurahia sare,uanaume wenu upo wapi?Wapi huko walizima?
Simba madume wewe....hata kama hujapenda ukweli ndo upo hivyo...ila pole saana
Kwa hali ilivyokuwa sare ile kwa Mnyama ni kama ubingwa mkuu..BalaMasuke........Unashangilia sare??????
Atakua Yanga tu yule.Shabiki wa timu gani?
Wachezaji wa yanga wamekimbia,hawataki kabisa kuzungumza na media!du aibu sana.kiufupi simba ndo wameshinda hii mechi.
Ki ukweli nyie mna huzuni zaidi kwa sasa kuliko sisi, yaani ni kama Simba tumeshinda kwa jinsi tulivyokuwa tumenyong'onyea wakati mnaongoza tatu bila,na mlijua mechi ishaisha, wewe unafikiri kurudisha goli tatu kazi ndogo? ukuta wa zege unazidi kutobolewa tu bora sisi na timu yetu ya kuunga unga tunazidi kuweka rekodi ya kuwa miongoni mwa timu tatu ambazo hazijafungwa hadi sasa.
Azam &Mbeya city
Masuke.............Unashangilia sare??????????
I see.....