Yanga wametia aibu jamani, yaani Mnyama kachomoa magoli yote 3! Haijawahi tokea namna hii. Ama kweli Yanga ni dhaifu! Hata hivyo nawapa hongera watani wa jadi, raha ya mpira magoli.
Kinachonisikitisha ni hawa watoto wa Simba kuwadindia watu wazima kinatisha, raundi ya pili watakuwa wameshapevuka na huenda Yanga wakalizwa.
Kinachonisikitisha ni hawa watoto wa Simba kuwadindia watu wazima kinatisha, raundi ya pili watakuwa wameshapevuka na huenda Yanga wakalizwa.