Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
KOKUTONA alieweka mpira dakika 90 namlaum sana......

ilibidi iwe dakika 45 tu..over
 
Last edited by a moderator:

Pamoja mkuuu
 
Last edited by a moderator:
Sizinga uliona eeeeh! Mi baada ya kipindi cha kwanza nilisepa kimya kimya kwenda kulala nikafikiri hapa leo bila kupigwa 6 kazi,jamaa angu alinipigia nakunieleza eti kaka njoo ucheck game imebadilika simba inatawala kwa mbwembwe zote sikuamini mikamuuliza matokeo vp? Akanijibu kuwa yanga 3 na simba 2 kaka sikuamini ilinibidi nichukue usafiri wangu na kurejea camp na kutizama match hadi mwisho,duh kweli Mungu ni mwema
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…