Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
We Kibadeni kama unanisikia nakuagiza Ingiza KIEMBA, toa Humud. Tutapigwa tano leo tushindwe kulala bhana
 
hawa waamuzi naona kama tayari wanamatokeo, yani kila mwombeki akigusa faulo
 
simba hali tete hapa,kocha ,wachezaji,mashabiki wote wanatetemeka tu hapa uwanjani,leo sijui
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom