Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Eti simba madume,mngepigwa tatu dk 45 za mwanzo?kwa hiyo mmefurahia sare,uanaume wenu upo wapi?
Back on fire from Behind 3 goals...tena kipindi cha pili,washachoka lakini still they manage? Mi nadhani wapewe credit kama wanaume,,,Over
 
Mkuu Balantanda kwa haya matokeo ni kama tumeshinda vile, Ruvu shooting walitufunga goli moja na tulitoka jasho kusawazisha goli moja tu leo tumesawazisha goli tatu tena ya ukuta unaominiwa kuwa ni imara kabisa kwa nini tusifurahi, hata kama Simba tungekuwa tumeanza kuongoza na nyie mkasawazisha ningeona kama vile tumefungwa tu. Kuna post moja niliuliza naweza kuwapongeza kabla ya dakika 90, hakuna aliyenijibu sijui mlijua hamtashinda hii mechi.
Masuke.............Unashangilia sare??????????
 
Mpira dakika 90. Ngasa ngasa ndo nani? Kajitu kafup utamfananisha na mwombeki
 
Aibu kwa Yanga! mnyama amechomoa goli zote tatu.
Hii ni aibu ya pili baada ya zile goli tatu
 
Mnyama ni mnyama tu. kandambili ni za kuendea chooni.

Simba raha sana
 
Frankly speaking nchi itaendelea kudumaa na haitokaa ipate mafanikio katika soka, inasikitisha sana mtu mzima kuwa kama zuzu kushangili droo badala ya kulika kitimoto benchi la ufundi ni kwa nini timu iruhusu kufungwa goli 3 kwa dakika 45? Hii ni kwa timu zote mbili.

Wewe nawe kama una timu yako kaiweke kitimoto, timu inapangua goli tatu unaona kazi rahisi ni kweli ilikuwa ni uzembe kuruhusu yale matatu ya mwanzo lakini mabeki hao hao waliofanya uzembe ndo wamefunga, kama ni uzembe basi Yanga ni wazembe zaidi.
 
Wewe nawe kama una timu yako kaiweke kitimoto, timu inapangua goli tatu unaona kazi rahisi ni kweli ilikuwa ni uzembe kuruhusu yale matatu ya mwanzo lakini mabeki hao hao waliofanya uzembe ndo wamefunga, kama ni uzembe basi Yanga ni wazembe zaidi.
Masuke Masuke Masuke mtani wangu.......

Unashangilia sare?........Hongereni sana kwa kuishinda Yanga magoli matatu mtani......

Simba hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Yanga walipanga kutufunga goli 5 ili wafute ile deni..
Lakini walisahau ki2 kimoja.. Hawana OKWI.
 
Mnyama ni mnyama tu. kandambili ni za kuendea chooni.

Simba raha sana

Ha ha ha Asprin.. Yanga ni kama chura.. wanashangilia mvua wakati hawana mtungi wa kuhifadhia maji lol.. Timu ya magazeti..
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom