DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 978
- 183
Wamejiuliza ndo maana wamezirejesha kiulaini kama kumtawaza mtoto aliejinyea [yanga].Nadhani wewe umeanza kushanbikia juzi.....Una habari Yanga wamewahi kuchomoa mechi na Simba Sheikh Amri Abeid Arusha matokeo yakawa 4-4......
Simba bana, badala ya kujiuliza ni kwa nini mliruhusu ba0 3-0 1st Half mnaanza kuiponda Yanga kwa kuruhusu magoli matatu......Ulitaka Yanga ishinde???/