alikuwa na agenda ya siri ndani yake ajenge Badolitte chato!! mbona matanzania mko majuha ivo???Nchi ilipokuwa haina ndege tuliponda
Wamenunua tunaponda
Ova
Zanzibar ukweli tuwape heko wana nidhamu ya hali ya juu na ustaarabu mkubwa misibani nadhani dini ya kiislamu ya kuheshimu marehemu inachangia hulu.kwetu akina Lisu kutukana maiti kitu kidogo tuHata hivyo wenzetu kule wamestaarabika zaidi, na niwaelewa wanapopewa maelekezo. Angalia jinsi walivyojipanga kiustaarabu. Ingekuwa Dar ungekuta machuma yamesukumwa huko, wengine wanarukaruka, wengine wanakimbia tu uwanjani na wengine kuwachokoza Polisi.
ccm ilivowaua vile tangu enzi za nkapa wee! Wana uchungu sana wanasemaga "ntukauage kafir yakheee!! Kesha kuwa nyama la udongo yulee!! Ammy nletee nsuli wangu atiiii!! Nkaage nione km kweliii"Zanzibar ukweli tuwape heko wana nidhamu ya hali ya juu na ustaarabu mkubwa misibani nadhani dini ya kiislamu ya kuheshimu marehemu inachangia hulu.kwetu akina Lisu kutukana maiti kitu kidogo tu...
Wewe hujui kenyatta hadi leo mwili wake ukienda unauona hadungwi midindano wala nini .Teknlojia zimebadilika unaishi kizamaniKwa jua la Tanzania hivi kweli mwili huu uko salama au umeshindiliwa mashindano kuchelewesha kuharibika? Wengine tunakumbuka mwili wa nyerere ulipowekwa uwanjani kabla ya maziko!
Huyu Mtajwa hapa Ulizaa nae Wewe au?Mbona Mbalu simuoni hapo
Huenda uko na Lissu UbelgijiUnemployment Zanzibar ni 70% hivi utakosa washangaaji?
Nilikujibu vile baada ya kusema kwamba Magufuli kafa kwasababu alikuwa katili.Nilitaka ujue kwamba uwe katili au usiwe katili kufa utakufa tu,na amini kwamba Kila mmoja atawatangulia kufa watu fulani,muhimu ni kuomba na kuisubiri zamu yako kwa hekima sio kuropoka maneno kama vile umekuja kukaa milele hapa duniani. Acha kufurahia kifo cha mwenzako.Amini maneno yangu kamwe sifi km mbwa. Nitakufa nikiwa nimejaa umri na tabasamu tele bila kusahau kutubu kwa Mungu wangu ninae mjua sana.
mungu wako najiwe ni makatili.siyo kwa mateso haya ya covid km hivo. Anakufa kwa kujificha???
utakufa weye km jibwa mie never Ever think again. Yesu wangu alipo ndipo nitakapo kaa. Mkono wa kuume.
Sisi wengine tumeshushwa kutembea humu !!! angalia vizuri ni mimi huyo nakubalika kote humu Duniani. Kwa viumbe wa Mungu tu.
Siyo kwa viumbe km wewe na jiwe kamwe hamtanikubali mtanichukia km mlivo mchukia Yesu wa Nazarethi.hiyo..
Hainipi shida nakuapia. zaidi mnanifanya nijue am real heavenly citizen.
Una lingine babu wa kuzimu???.....na bado utamfuata tuuuuu soon"""""""
Acha mbwembwe zako, ungekuwa heavenly citizen kama unavyojifaragua humu jF, usingekuwa na ujasiri wa kusherekea binadamu mwenzako anapokufa wakati safairi ni ileile.Amini maneno yangu kamwe sifi km mbwa. Nitakufa nikiwa nimejaa umri na tabasamu tele bila kusahau kutubu kwa Mungu wangu ninae mjua sana.
mungu wako najiwe ni makatili.siyo kwa mateso haya ya covid km hivo. Anakufa kwa kujificha???
utakufa weye km jibwa mie never Ever think again. Yesu wangu alipo ndipo nitakapo kaa. Mkono wa kuume.
Sisi wengine tumeshushwa kutembea humu !!! angalia vizuri ni mimi huyo nakubalika kote humu Duniani. Kwa viumbe wa Mungu tu.
Siyo kwa viumbe km wewe na jiwe kamwe hamtanikubali mtanichukia km mlivo mchukia Yesu wa Nazarethi.hiyo..
Hainipi shida nakuapia. zaidi mnanifanya nijue am real heavenly citizen.
Una lingine babu wa kuzimu???.....na bado utamfuata tuuuuu soon"""""""
Hujui kitu wewe....CCM inahusika vipi hapo? Umma wa Watanzania ndio unaotaka kumuaga mpendwa wao...wewe na wenzako subirini kumuaga Amsterdam na yule mwingine ambaye siwezi kumtaja jina hapa..Wana CCM akili hamna. Kwa hiyo kwenu ni ufahari kumzungusha marehemu kwa zaidi ya wiki mitaani? Tafadhali mhifadhini kuheshimu utu wa mtu hata kama siyo mzima. Mtu ana hadhi yake, siyo kuzungusha mwili wake ardhini na angani karibu wiki mbili nzima. Mnawaumiza ndugu na watoto wake na yule mama yake aliyepo kitandani anaumwa.
Mizunguko yote hiyo ya nini? Zikeni Janeth apumue jamani. Hamna hata huruma nyie watu. Mnatafuta umaarufu wa chama chenu au wa nini?
😂😂Pamoja na kwamba tuko kwenye msiba wa kitaifa imenibidi nicheke kwa maelezo yakoHata hivyo wenzetu kule wamestaarabika zaidi, na niwaelewa wanapopewa maelekezo. Angalia jinsi walivyojipanga kiustaarabu. Ingekuwa Dar ungekuta machuma yamesukumwa huko, wengine wanarukaruka, wengine wanakimbia tu uwanjani na wengine kuwachokoza Polisi.
Hujanielewa!! Narudia tena Mungu wa kweli hakuumba mtu afe mapema bila kutimiza kusudio lake. Km yupo kwako Siyo Mungu ninae mjua mimi huyo.Nilikujibu vile baada ya kusema kwamba Magufuli kafa kwasababu alikuwa katili.Nilitaka ujue kwamba uwe katili au usiwe katili kufa utakufa tu,na amini kwamba Kila mmoja atawatangulia kufa watu fulani,muhimu ni kuomba na kuisubiri zamu yako kwa hekima sio kuropoka maneno kama vile umekuja kukaa milele hapa duniani. Acha kufurahia kifo cha mwenzako.
NAOMBA NIKUONGEZEE KITU HAPO CHINI[emoji116] juu ya huu comment yako niliyoiquote.
Mimi nakukumbusha tu kuwa, sio kila anaekufa mapema basi sio mcha Mungu. Ingekuwa ni kumcha Mungu ni kigezo cha kutokufa basi wote wangemcha. Ila maisha ni tofauti sana anakufa mcha Mungu anabaki jambazi, malaya, mwizi, muuwaji au kinyume chake.Hakuna anaechagua kufa akiwa na tabasamu,buheri wa afya au laah.Swala la kujihakikishia kwamba utapata muda wa kutubu nalo naona ni utani tu[emoji28], maana kifo hakijawahi kutoa taarifa.
Kuwahiyo hata uandike nini kufa tutakufa tu, na naona sikuizi mmejisahau sana mnaiwaza Corona tu, wakati kifo kikifika kinachukua hata kama ni mzima wa afya tele.
Kama nimeandikiwa kufa very soon kama inavyosema, naiwe hivyo. Ila kinachonipa faraja ni kwamba siku moja ni hakika 100% wote tutakuwa tumemezwa na ardhi[emoji28].
Natoa neno la ufafanuzi wewe ili msirudie tena jutenda somo kushabikia Herode! Yesu alibaki salama hakuguswa mpaka akatimiza kusudio lake lkn yeye herode alipotea !Acha mbwembwe zako, ungekuwa heavenly citizen kama unavyojifaragua humu jF, usingekuwa na ujasiri wa kusherekea binadamu mwenzako anapokufa wakati safairi ni ileile.
hivi unajua maana ya sherehe??? Au umekusudia kuropoka tu!!!Acha mbwembwe zako, ungekuwa heavenly citizen kama unavyojifaragua humu jF, usingekuwa na ujasiri wa kusherekea binadamu mwenzako anapokufa wakati safairi ni ileile.
CHADEMA laiti msingesema kuwa mzee huyu hakubaliki angeshafukiwa kitambo!
Hata mimi nilitegemea baada ya Dodoma labda atakwenda kusubiria Chato .... which is also wrong. Maana haiwezekani kumuacha mumewe nyuma halafu yeye atangulie!! Kiukweli kwa huu mtindo hawaitendei Haki familia ....!!Huyu mke wa Jiwe watamuua kwa BP, hivi kweli chama kimekosa watu wenye busara kushauri mke wa marehemu angalau aende Chato asubiri mwili wa mumewe huko?
Yaani mwanamke kila mwili unapokwenda naye yupo, wakati wa kuaga naye hupo, tangu Dar siku mbili anamuaga mumewe, Dom siku moja anamuaga mumewe, Z'bar siku moja anamuaga mumewe, Mza amuage mumewe, Chato amuage mumewe[emoji32].
Hivi atakuwa mtu wa aina gani ambaye ataweza kuvumilia uchungu wa kumuona mumewe ambaye amenyamaza kimya na kufumba macho?
Sasa wasipokuwa makini watamaliza kumzika Meko na Mkewe anafuatia, , , huyu mama wampumzishe pamoja na wanae waende Chato wasubiri mwili wa marehemu basi!
Exactly where you are , hapo mpaka waliaji na waombolezaji lazima wakodiwe , wasafirishwe toka bara ili idadi yetu ya mabilioni itimie , ila ndio haisadii kitu hafufuki ng'o hata mataga kina Yehodada mfanyaje , Gwajima mwenyewe kakaa kimya Kama hafufuagi wafu ? .Kwa jinsi "Hayati Mwenyekiti Wa CCM" alichowafanya wazanzibari kwenye uchaguzi mkuu 2020 miezi michache iliopita, "VIRUNGU/FIMBO/MAKOFI/MITAMA kolabo "MABOMU/RISASI", visiwani walichezea baikoko wakachezeka kweli kweli.
Sijui kama boat za bakhresa hazijajaa waombolezaji waliokatiwa ticket za bure tokea "MFUKO MAALUM WA MAAFA WA LUMUMBA".
Kuna watu huko kila wakisikia jina lake wanakumbuka sura za ndugu/watoto/marafiki waliokua wakiokotwa maiti zao mitaani waliopoteza maisha. Wenye matundu ya risasi vifuani/tumboni/vichwani.
Mungu awape subira wahanga, na maisha ya amani waliopoteza maisha yao kwenye uchaguzi mkuu 2020.