We dada me hata sioni unachoongea hapa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28].
Hoja yangu ya msingi ni kwamba, kufa tutakufa wote, hata wewe mwenye utambuzi(kama unavyodai) siku yako itafika na wala huo utambuzi wako hautakusaidia kitu siku hiyo.
Nataka uendelee kupingana na hiyo hoja yangu hapo juu [emoji115], kama ulivyokuwa unafanya ulivyoiquote comment yangu kule juu.
Huoni nachoongea sababu huna akili ya utambuzi mwanana!!! Watu km nyie ni division O hata ukipewa majibu uangalizie!!bado uta fail tu.hamjawahi kuelewa!! Kitu simple hivi huelewi???
Unanichosha kurudia.!! mimi sifi kwa sababu wewe umesema.
Nitakufa nikiwa nimejaa umri na vining'ina juu!!
Wewe utakufa kesho uko sahihi ndo ulivopangiwa but siyo mimi najijua.
Km lugha ya taifa lako hujui. Kifaransa utakijuaje??
sahihi ni. utambuzi wangu natoa ajili ya watu wenye mtizamo chanya! hautakusaidia wewe leo!!
Inaonyesha naongea na division zero hata huko hukufika!!
Nakupa mfano wa tambuzi hasi badaye zikawa chanya:
Leo hii sheria.sayansi.geogr tunaishi mawazo ya watu hata. unavosoma humu ni zao la Bill gate groups.
but jua fikra zangu zitasaidia wenye fikra chanya za kimapinduzi
Ambao utawategemea maisha yako yote! Mfano wa fkra chanya zenye msaada leo ni kina Galleo.
Avogadros.
Nyererenk.na wengine wengi. na mimi ni mmoja wao!!
Msione kujazana hapo manzese kwa wazaramo mnakula urabu kwa raha mstarehe hilo ni zao la fikra chanya za nanii...lkn leo wapo??