luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Dhambi gani? Kwani kaburini anawahi nn huko cha maana?Hila mgemzika tu mzee wetu Mnàfanya dhambi kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dhambi gani? Kwani kaburini anawahi nn huko cha maana?Hila mgemzika tu mzee wetu Mnàfanya dhambi kubwa
Mnahangaika sana na marehemu muacheni aende, watu kujitokeza kumuaga msitafute visingizio, uwanja wa uhuru wamekanyagana wamekufa RIP, hawakupelekwa na lumumba wale.Kwa jinsi Hayati Mwenyekiti Wa CCM alichowafanya wazanzibari kwenye uchaguzi mkuu 2020 miezi michache iliopita, "VIRUNGU/FIMBO/MAKOFI/MITAMA kolabo "MABOMU/RISASI" walivyochezea baikoko wakachezeka kweli kweli.
Kuna watu huko kila wakisikia jina lake wanakumbuka sura za ndugu zao na watoto waliopoteza maisha.
Sijui kama boat za bakhresa hazijajaa waombolezaji waliokatiwa ticket za bure tokea "MFUKO MAALUM WA MAAFA WA LUMUMBA".
Mungu awape subira wahanga, na maisha ya amani waliopoteza maisha yao kwenye uchaguzi mkuu 2020.
Labda itabadili matokeoKwahiyo?
Kwani wewe si kitengo chako ni mapishi pale chato?Watu tayari wameshaanza kufurika uwanja wa Amani Zanzibar
Umelipatia kweli kweli huyo MATAGAKwahiyo?
MATAGA kaziniSi unapewa Taarifa.
Mnapotakaga uhuru wa Habari ni ili iwe nini?
Hata Maalimu Sefu ni mpendwa wa wengi lakini hatuyaona tunayoyaonaAcheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Aiseee...Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Hilo nalo ni neenochadema laiti msingesema kuwa mzee huyu hakubaliki angeshafukiwa kitambo!
Mi MWANAUME, now sema utakacho, mpunguze mihemko kwa haya mambo, kama kuibiwa kura hata mimi niliibiwa, we unaumia zaidi kwasababu gani? au ndio una hisia za kike?Hivi wewe ni mwanaume au mwanamke kwanza? Nina mashaka na jinsia yako kabla sijakujibu unacho stahili kujibiwa.
Nimekuuliza hivo kwasababu mimi ni mtu mwenye huruma sana kwa jinsia za kike, sina rekodi ya kumkosea heshima mwanamke achilia mbali hata ya kumpiga kibao. Licha ya vitimbi na maudhi yao ya kiwango cha "LAMI".
Mpuuzi, kuandika kwa ku-bold haina maana una pointi za msingi, roho inakuumia nini watu wakijitokeza kumuaga marehemu mpaka utunge vijisababu vya kike, una gubu kama mwanamke.Hauna tofauti na dada zako kitabia. Hicho ndio nlichotaka kusema.[emoji41]
Kwa nini hawamziki?Hawamziki Ili wapate dhambiEbu tujibu bwana.
Nifanyie connection namba za Ruth mkuuHili Swali kamuulize Mkewe Janet pamoja na Wanawe Marehemu hawa Saba ( 7 ) Wafuatao tafadhali..
1. Suzana
2. Edna
3. Joseph
4. Ruth
5. Jesca
6. Jurgen
7. Jeremiah
Ukinihoji Mimi utakuwa unanionea mno.
Mwisho atanuka sasa mkuu watu wakimbie, angekuwa hai angewazaba makofi coz mnamdhalilisha kwakuwa kashakata ringi.Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Mjane unahangaika tokea jana subiri mirathi kwanzaWatu tayari wameshaanza kufurika uwanja wa Amani Zanzibar
Wivu unakusumbuaKwa jinsi "Hayati Mwenyekiti Wa CCM" alichowafanya wazanzibari kwenye uchaguzi mkuu 2020 miezi michache iliopita, "VIRUNGU/FIMBO/MAKOFI/MITAMA kolabo "MABOMU/RISASI", visiwani walichezea baikoko wakachezeka kweli kweli.
Sijui kama boat za bakhresa hazijajaa waombolezaji waliokatiwa ticket za bure tokea "MFUKO MAALUM WA MAAFA WA LUMUMBA".
Kuna watu huko kila wakisikia jina lake wanakumbuka sura za ndugu/watoto/marafiki waliokua wakiokotwa maiti zao mitaani waliopoteza maisha. Wenye matundu ya risasi vifuani/tumboni/vichwani.
Mungu awape subira wahanga, na maisha ya amani waliopoteza maisha yao kwenye uchaguzi mkuu 2020.