Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
AiseeHii stand mpya ya mwenge lin itaanza rasmi? Naona sahv inatumika partially - Naskia pia stand ya makumbusho haina mda mrefu itaondolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeHii stand mpya ya mwenge lin itaanza rasmi? Naona sahv inatumika partially - Naskia pia stand ya makumbusho haina mda mrefu itaondolewa
Maendeleo ya wananchi ambayo hayawahusishi wananchi kuyapangaHaya mambo yakiendelea hivi na kwingine ni wazi Tanganyika inarudishwa utumwani
Mwanzoni mwa wiki hii kituo kizuri cha daladala cha Mawasiliano Simu 2000 kilifungwa rasmi na fremu zote zinazohudumia kutoka ndani ya kituo kuvunjwa ili kumpisha mwekezaji mpya anayetaka kuweka karakana ya mabasi ya mwendokasi
Kwa siku tatu mfululizo pale Simu 2000 ilikuwa ni zogo hasa nyakati za jioni kwakuwa magari ya abiria toka kona zote za jiji yalikuwa yanasimama barabarani kupakia na kushusha abiria
Sasa zimechukuliwa hatua sijui ni za dharura ama la, 'kutengeneza kituo kipya' ndani ya soko la vyakula na matunda lililoko pembeni ya kituo
Imagine sehemu ya soko hilo ilivyo ndogo na isiyo na miundombinu ya magari hasa ya abiria sasa ni sehemu ya kupakia na kushusha abiria 🤔😭
Mahali palipokuwa panafanyika mnada wa mahindi, miwa nk sasa ni maegesho ya daladala kupakia na kushusha abiria
Hapana zege, hapana lami, hapajasindiliwa ni mavumbi kwenda mbele na zile vurugu za daladala
Usalama na usafi wa vyakula vinavyouzwa hapo sasa uko shakani kutokana na miundombinu hafifu, vurugu za daladala na wingi wa watu
Wafanyabiashara waliokuwa ndani ya kituo nao sasa wanabanana na wengine hapo sokoni
Sasa hivi hali ni hiyo ya vumbi je ikinyesha mvuta patakuwaje?
Dhana ya maendeleo na maamuzi kengeufu
Sijui huyo mwekezaji ana nguvu kiasi gani na sina hakika walioruhusu kituo kigeuzwe karakana kama waliwaza kwa weledi, hekima na uzalendo.. Kuondoa watu wote wale na uwekezaji wote ule na kusababisha adha ya usafiri na ongezeko la gharama kwa abiria na usumbufu mwingine mwingi ni maamuzi yenye kutatiza mno na shaka kubwa juu ya hekima ya waliobariki hilo zoezi!
Hata hivyo kama ilibidi kupisha maendeleo mengine basi haya yaliyokuwepo tayari yangetafutiwa mbadala mapema na kabla ya haya mapya. Nina hakika mwekezaji mpya kalipa pesa kulipata lile Eneo, sasa kwanini pesa hizo zisitumike kutengeneza mbadala wa kilichokuwepo ili kuepusha usumbufu, hasara na adha kwenye maisha?
Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili? Mtumwa anayepaswa kutii kila agizo bila kuhoji hata kama haki zake za msingi zinapokwa? Aende wapi sasa🥺
Pale Simu 2000 kuna kila aina ya harufu ya uvundo mkali wa maadili na uzalendo.. Waliofanya hiyo dili wakakubali sijui walipewa nini huko na walisainishwa mikataba ya aina gani huko! Maana ni wazi mwenye eneo kacharuka anataka eneo lake na wao walikuwa bado hawajajiandaa kulikabidhi kwake!
Soma Pia:
Wanaoumia na kuteseka sasa ni wananchi wenye nchi yao! Lakini la kushangaza zaidi vyombo vya habari karibia vyote hakuna hata kimoja kilichoripoti hali ilivyo simu 2000 .
- Stendi Simu 2000 yafungwa rasmi kupisha ujenzi karakana ya mwendokasi
- Machinga wa Soko la Simu2000, Dar es Salaam wagoma na kufunga barabara asubuhi ya leo, Julai 8, 2024
Je wametishwa? Na nani?
Kama mwekezaji kafaulu kufanya hivyo pale Mawasiliano Simu 2000 tujiandae kwa machungu mengi zaidi.
Tanganyika...!🤔🙇🏿♂View attachment 3100763
Mkuu hapo utaumiza kichwa bure. Hao wanaitwa PRAISE TEAM. Kazi yao ni kusifu chochote kile kinachofanywa na serikali ya CCM. Kama hujawahi kukutana nao basi huyo ni mmoja wao. Mimi ninao wengi sana wapo kwenye Ignoring List.Mbona unataka kutengenezea fitina?
Sawa,, hebu Tafuta neno linalosomeka BRT isijengwe kutoka kwenye thread ya Mshana Jr
Nisaidie kutafuta naona umekuja kwa Id nyingineMbona unataka kutengenezea fitina?
Sawa,, hebu Tafuta neno linalosomeka BRT isijengwe kutoka kwenye thread ya Mshana Jr
Pale jangwani eneo si lipo la wazi.
Haya mambo yakiendelea hivi na kwingine ni wazi Tanganyika inarudishwa utumwani
Mwanzoni mwa wiki hii kituo kizuri cha daladala cha Mawasiliano Simu 2000 kilifungwa rasmi na fremu zote zinazohudumia kutoka ndani ya kituo kuvunjwa ili kumpisha mwekezaji mpya anayetaka kuweka karakana ya mabasi ya mwendokasi
Kwa siku tatu mfululizo pale Simu 2000 ilikuwa ni zogo hasa nyakati za jioni kwakuwa magari ya abiria toka kona zote za jiji yalikuwa yanasimama barabarani kupakia na kushusha abiria
Sasa zimechukuliwa hatua sijui ni za dharura ama la, 'kutengeneza kituo kipya' ndani ya soko la vyakula na matunda lililoko pembeni ya kituo
Imagine sehemu ya soko hilo ilivyo ndogo na isiyo na miundombinu ya magari hasa ya abiria sasa ni sehemu ya kupakia na kushusha abiria 🤔😭
Mahali palipokuwa panafanyika mnada wa mahindi, miwa nk sasa ni maegesho ya daladala kupakia na kushusha abiria
Hapana zege, hapana lami, hapajasindiliwa ni mavumbi kwenda mbele na zile vurugu za daladala
Usalama na usafi wa vyakula vinavyouzwa hapo sasa uko shakani kutokana na miundombinu hafifu, vurugu za daladala na wingi wa watu
Wafanyabiashara waliokuwa ndani ya kituo nao sasa wanabanana na wengine hapo sokoni
Sasa hivi hali ni hiyo ya vumbi je ikinyesha mvuta patakuwaje?
Dhana ya maendeleo na maamuzi kengeufu
Sijui huyo mwekezaji ana nguvu kiasi gani na sina hakika walioruhusu kituo kigeuzwe karakana kama waliwaza kwa weledi, hekima na uzalendo.. Kuondoa watu wote wale na uwekezaji wote ule na kusababisha adha ya usafiri na ongezeko la gharama kwa abiria na usumbufu mwingine mwingi ni maamuzi yenye kutatiza mno na shaka kubwa juu ya hekima ya waliobariki hilo zoezi!
Hata hivyo kama ilibidi kupisha maendeleo mengine basi haya yaliyokuwepo tayari yangetafutiwa mbadala mapema na kabla ya haya mapya. Nina hakika mwekezaji mpya kalipa pesa kulipata lile Eneo, sasa kwanini pesa hizo zisitumike kutengeneza mbadala wa kilichokuwepo ili kuepusha usumbufu, hasara na adha kwenye maisha?
Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili? Mtumwa anayepaswa kutii kila agizo bila kuhoji hata kama haki zake za msingi zinapokwa? Aende wapi sasa🥺
Pale Simu 2000 kuna kila aina ya harufu ya uvundo mkali wa maadili na uzalendo.. Waliofanya hiyo dili wakakubali sijui walipewa nini huko na walisainishwa mikataba ya aina gani huko! Maana ni wazi mwenye eneo kacharuka anataka eneo lake na wao walikuwa bado hawajajiandaa kulikabidhi kwake!
Soma Pia:
Wanaoumia na kuteseka sasa ni wananchi wenye nchi yao! Lakini la kushangaza zaidi vyombo vya habari karibia vyote hakuna hata kimoja kilichoripoti hali ilivyo simu 2000 .
- Stendi Simu 2000 yafungwa rasmi kupisha ujenzi karakana ya mwendokasi
- Machinga wa Soko la Simu2000, Dar es Salaam wagoma na kufunga barabara asubuhi ya leo, Julai 8, 2024
Je wametishwa? Na nani?
Kama mwekezaji kafaulu kufanya hivyo pale Mawasiliano Simu 2000 tujiandae kwa machungu mengi zaidi.
Tanganyika...!🤔🙇🏿♂View attachment 3100763
Nafikiri ndo lengo la kuifuta stend ya mawasiliano.Kuna stand mpya mwenge na haina magari zaidi ya yanayo kwenda mabibo, kwanini wasifute TLB ya mawasiliano wawape ya Mwenge ikiwezekana na gari za kwenda gerezani na posta zianzie mwenge, maana ile stand ni kubwa na haina inachofanya
Mambo gani ya kijeshi wakati jeshi lenyewe lina poli lake. Nadhani unazungumzia kile kikosi cha Komandi ya anga. Wale poli lote la Changanyikeni ni lao.Mapori ya chuo gani mkuu? Kama ni mapori ya UDSM mule ndani kuna mambo ya kijeshi hufanyika .
mshana siku zote ukifanya maamuzi ya kisiasa kwa mambo yenye sheria na utaratibu, lazima ipo siku utakwama tuu. Na hili ni kwetu sote wananchi na serikali. Mambo mengi bongo tunaweka siasa. Siku viongozi na wananchi wakijifunza kuheshimu sheria na kanuni, ndo tutakuwa tumeianza safari ya maendeleo.Haya mambo yakiendelea hivi na kwingine ni wazi Tanganyika inarudishwa utumwani
Mwanzoni mwa wiki hii kituo kizuri cha daladala cha Mawasiliano Simu 2000 kilifungwa rasmi na fremu zote zinazohudumia kutoka ndani ya kituo kuvunjwa ili kumpisha mwekezaji mpya anayetaka kuweka karakana ya mabasi ya mwendokasi
Kwa siku tatu mfululizo pale Simu 2000 ilikuwa ni zogo hasa nyakati za jioni kwakuwa magari ya abiria toka kona zote za jiji yalikuwa yanasimama barabarani kupakia na kushusha abiria
Sasa zimechukuliwa hatua sijui ni za dharura ama la, 'kutengeneza kituo kipya' ndani ya soko la vyakula na matunda lililoko pembeni ya kituo
Imagine sehemu ya soko hilo ilivyo ndogo na isiyo na miundombinu ya magari hasa ya abiria sasa ni sehemu ya kupakia na kushusha abiria 🤔😭
Mahali palipokuwa panafanyika mnada wa mahindi, miwa nk sasa ni maegesho ya daladala kupakia na kushusha abiria
Hapana zege, hapana lami, hapajasindiliwa ni mavumbi kwenda mbele na zile vurugu za daladala
Usalama na usafi wa vyakula vinavyouzwa hapo sasa uko shakani kutokana na miundombinu hafifu, vurugu za daladala na wingi wa watu
Wafanyabiashara waliokuwa ndani ya kituo nao sasa wanabanana na wengine hapo sokoni
Sasa hivi hali ni hiyo ya vumbi je ikinyesha mvuta patakuwaje?
Dhana ya maendeleo na maamuzi kengeufu
Sijui huyo mwekezaji ana nguvu kiasi gani na sina hakika walioruhusu kituo kigeuzwe karakana kama waliwaza kwa weledi, hekima na uzalendo.. Kuondoa watu wote wale na uwekezaji wote ule na kusababisha adha ya usafiri na ongezeko la gharama kwa abiria na usumbufu mwingine mwingi ni maamuzi yenye kutatiza mno na shaka kubwa juu ya hekima ya waliobariki hilo zoezi!
Hata hivyo kama ilibidi kupisha maendeleo mengine basi haya yaliyokuwepo tayari yangetafutiwa mbadala mapema na kabla ya haya mapya. Nina hakika mwekezaji mpya kalipa pesa kulipata lile Eneo, sasa kwanini pesa hizo zisitumike kutengeneza mbadala wa kilichokuwepo ili kuepusha usumbufu, hasara na adha kwenye maisha?
Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili? Mtumwa anayepaswa kutii kila agizo bila kuhoji hata kama haki zake za msingi zinapokwa? Aende wapi sasa🥺
Pale Simu 2000 kuna kila aina ya harufu ya uvundo mkali wa maadili na uzalendo.. Waliofanya hiyo dili wakakubali sijui walipewa nini huko na walisainishwa mikataba ya aina gani huko! Maana ni wazi mwenye eneo kacharuka anataka eneo lake na wao walikuwa bado hawajajiandaa kulikabidhi kwake!
Soma Pia:
Wanaoumia na kuteseka sasa ni wananchi wenye nchi yao! Lakini la kushangaza zaidi vyombo vya habari karibia vyote hakuna hata kimoja kilichoripoti hali ilivyo simu 2000 .
- Stendi Simu 2000 yafungwa rasmi kupisha ujenzi karakana ya mwendokasi
- Machinga wa Soko la Simu2000, Dar es Salaam wagoma na kufunga barabara asubuhi ya leo, Julai 8, 2024
Je wametishwa? Na nani?
Kama mwekezaji kafaulu kufanya hivyo pale Mawasiliano Simu 2000 tujiandae kwa machungu mengi zaidi.
Tanganyika...!🤔🙇🏿♂View attachment 3100763
View attachment 3101781Sirikali
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume😂😂😂Kule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
View attachment 3101781Sirikali
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiumeKule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
What a wasted manii... ! A single condom of Tsh 500/= could have solved a lot of dungs.!!!Ngozi nyeusi ukichanganya na uchadema matokeo yake uwendawazimu! Kwaakili yako eti kisa ulikua unauzia maembe hapo sokoni ndio unataka BRT isijengwe? Foolish
Makumbusho stend naendaga kuangalia misambwandaHii stand mpya ya mwenge lin itaanza rasmi? Naona sahv inatumika partially - Naskia pia stand ya makumbusho haina mda mrefu itaondolewa
View attachment 3101781Sirikali
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiumeKule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
What a wasted manii... ! A single condom of Tsh 500/= could have solved a lot ofNgozi nyeusi ukichanganya na uchadema matokeo yake uwendawazimu! Kwaakili yako eti kisa ulikua unauzia maembe hapo sokoni ndio unataka BRT isijengwe? Foolish
Wafanye maamuzi ya haraka maana abiria wanateseka sana kwa sasa kwa msongamano na vumbi hapo bado mvuaNafikiri ndo lengo la kuifuta stend ya mawasiliano.
They're right Kwa pale,Maana uwepo wa stendi ya mawasiliano una tatzo uwepo wa stendi ya mwenge.
Karakana ya uda ilikuwa kurasiniKarakana inaenda kukaa Town? Kwanini wasingeenda kwenye mapori ya chuo na kuweka karakana?
View attachment 3101781Sirikali
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiumeKule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
What a wasted manii... ! A single condom of Tsh 500/= could have solved a lot ofNgozi nyeusi ukichanganya na uchadema matokeo yake uwendawazimu! Kwaakili yako eti kisa ulikua unauzia maembe hapo sokoni ndio unataka BRT isijengwe? Foolish
Makumbusho ni kweli kuna permanent stand ya kitambo lakini sio hii ya sasa waliyoipa hadhi ya stand kubwaSio kweli,stand ya makumbusho ilikuwa ya kudumu,ya mwenge ndio ilikuwa ya muda enzi zile
Sasa sijajua nn kimefanya stand ya Mwenge irudi na Kama kweli ya makumbusho inaondoshwa Basi utakuwa ni muendelezo ya mipango ya kukurupuka iliyozoeleka nchi hii
Nakubaliana na wewe mkuu!Mkuu hapo utaumiza kichwa bure. Hao wanaitwa PRAISE TEAM. Kazi yao ni kusifu chochote kile kinachofanywa na serikali ya CCM. Kama hujawahi kukutana nao basi huyo ni mmoja wao. Mimi ninao wengi sana wapo kwenye Ignoring List.
Huna akili.Karakana inaenda kukaa Town? Kwanini wasingeenda kwenye mapori ya chuo na kuweka karakana?
ChaiHuu ujinga wameufanya pia kituo cha kivukoni (feri)