Yaliyoko Simu2000 yanaumiza na kuhuzunisha sana

Yaliyoko Simu2000 yanaumiza na kuhuzunisha sana

Haya mambo yakiendelea hivi na kwingine ni wazi Tanganyika inarudishwa utumwani

Mwanzoni mwa wiki hii kituo kizuri cha daladala cha Mawasiliano Simu 2000 kilifungwa rasmi na fremu zote zinazohudumia kutoka ndani ya kituo kuvunjwa ili kumpisha mwekezaji mpya anayetaka kuweka karakana ya mabasi ya mwendokasi

Kwa siku tatu mfululizo pale Simu 2000 ilikuwa ni zogo hasa nyakati za jioni kwakuwa magari ya abiria toka kona zote za jiji yalikuwa yanasimama barabarani kupakia na kushusha abiria

Sasa zimechukuliwa hatua sijui ni za dharura ama la, 'kutengeneza kituo kipya' ndani ya soko la vyakula na matunda lililoko pembeni ya kituo

Imagine sehemu ya soko hilo ilivyo ndogo na isiyo na miundombinu ya magari hasa ya abiria sasa ni sehemu ya kupakia na kushusha abiria 🤔😭
Mahali palipokuwa panafanyika mnada wa mahindi, miwa nk sasa ni maegesho ya daladala kupakia na kushusha abiria

Hapana zege, hapana lami, hapajasindiliwa ni mavumbi kwenda mbele na zile vurugu za daladala
Usalama na usafi wa vyakula vinavyouzwa hapo sasa uko shakani kutokana na miundombinu hafifu, vurugu za daladala na wingi wa watu

Wafanyabiashara waliokuwa ndani ya kituo nao sasa wanabanana na wengine hapo sokoni
Sasa hivi hali ni hiyo ya vumbi je ikinyesha mvuta patakuwaje?

Dhana ya maendeleo na maamuzi kengeufu

Sijui huyo mwekezaji ana nguvu kiasi gani na sina hakika walioruhusu kituo kigeuzwe karakana kama waliwaza kwa weledi, hekima na uzalendo.. Kuondoa watu wote wale na uwekezaji wote ule na kusababisha adha ya usafiri na ongezeko la gharama kwa abiria na usumbufu mwingine mwingi ni maamuzi yenye kutatiza mno na shaka kubwa juu ya hekima ya waliobariki hilo zoezi!

Hata hivyo kama ilibidi kupisha maendeleo mengine basi haya yaliyokuwepo tayari yangetafutiwa mbadala mapema na kabla ya haya mapya. Nina hakika mwekezaji mpya kalipa pesa kulipata lile Eneo, sasa kwanini pesa hizo zisitumike kutengeneza mbadala wa kilichokuwepo ili kuepusha usumbufu, hasara na adha kwenye maisha?

Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili? Mtumwa anayepaswa kutii kila agizo bila kuhoji hata kama haki zake za msingi zinapokwa? Aende wapi sasa🥺

Pale Simu 2000 kuna kila aina ya harufu ya uvundo mkali wa maadili na uzalendo.. Waliofanya hiyo dili wakakubali sijui walipewa nini huko na walisainishwa mikataba ya aina gani huko! Maana ni wazi mwenye eneo kacharuka anataka eneo lake na wao walikuwa bado hawajajiandaa kulikabidhi kwake!

Soma Pia:
Wanaoumia na kuteseka sasa ni wananchi wenye nchi yao! Lakini la kushangaza zaidi vyombo vya habari karibia vyote hakuna hata kimoja kilichoripoti hali ilivyo simu 2000 .

Je wametishwa? Na nani?
Kama mwekezaji kafaulu kufanya hivyo pale Mawasiliano Simu 2000 tujiandae kwa machungu mengi zaidi.

Tanganyika...!🤔🙇🏿‍♂View attachment 3100763
Watu waandamane
 
Ehee.
Sasa wewe niliposema jangwani eneo la wazi lipo.wewe ulidhani jangwani gani?
Nlikuuliza Jangwani mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda jenga yard ya magari hapo? Hakuna mwenye akili timamu anaweza enda pale Jangwani kujenga karakana ya Magari. Only a fool.
 
Kule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
Hasa pale morogoro walichemka mazima. Hadi sasa hapaeleweki.. stand ya kule cjui wapi mafiga haitumiki kabsa.. kuna muda ile stand mpya iligeuzwa eneo la mnada wa nyama choma za kimasai
 
Nlikuuliza Jangwani mtu mwenye akili timamu anaweza kwenda jenga yard ya magari hapo? Hakuna mwenye akili timamu anaweza enda pale Jangwani kujenga karakana ya Magari. Only a fool.
Samia alitaka kujenga mradi wa nyumba elfu 14,000 na daraja Jipya la jangwani na yeye hana akili?
 
Samia alitaka kujenga mradi wa nyumba elfu 14,000 na daraja Jipya la jangwani na yeye hana akili?
Ujenge nyumba Jangwani? Una akili kweli? Yale maji yanayojaa pale unapeleka wapi? Jamani nyie kwa nini hampendi kutumia akili? Imeiona karakana ya magari ya mwendokasi? Ikinyesha mvua inakuaje?

Daraja BIG YES. MAKAZI NI KUTOTUMIA AKILI. THEN MAJI YA MTO MSIMBAZI YAENDE WAPI?
 
Ujenge nyumba Jangwani? Una akili kweli? Yale maji yanayojaa pale unapeleka wapi? Jamani nyie kwa nini hampendi kutumia akili? Imeiona karakana ya magari ya mwendokasi? Ikinyesha mvua inakuaje?

Daraja BIG YES. MAKAZI NI KUTOTUMIA AKILI. THEN MAJI YA MTO MSIMBAZI YAENDE WAPI?
Kwa hyo wewe una akili sana kushinda benki ya dunia na watu wake?
Na mkopo walishatoa kuijenga jangwani uwe mji wa kisasa.na fidia walishaanza kulipwa watu.unaishi wapi?
Shida mradi umekufa samia kala hela.
 
Haya mambo yakiendelea hivi na kwingine ni wazi Tanganyika inarudishwa utumwani

Mwanzoni mwa wiki hii kituo kizuri cha daladala cha Mawasiliano Simu 2000 kilifungwa rasmi na fremu zote zinazohudumia kutoka ndani ya kituo kuvunjwa ili kumpisha mwekezaji mpya anayetaka kuweka karakana ya mabasi ya mwendokasi

Kwa siku tatu mfululizo pale Simu 2000 ilikuwa ni zogo hasa nyakati za jioni kwakuwa magari ya abiria toka kona zote za jiji yalikuwa yanasimama barabarani kupakia na kushusha abiria

Sasa zimechukuliwa hatua sijui ni za dharura ama la, 'kutengeneza kituo kipya' ndani ya soko la vyakula na matunda lililoko pembeni ya kituo

Imagine sehemu ya soko hilo ilivyo ndogo na isiyo na miundombinu ya magari hasa ya abiria sasa ni sehemu ya kupakia na kushusha abiria 🤔😭
Mahali palipokuwa panafanyika mnada wa mahindi, miwa nk sasa ni maegesho ya daladala kupakia na kushusha abiria

Hapana zege, hapana lami, hapajasindiliwa ni mavumbi kwenda mbele na zile vurugu za daladala
Usalama na usafi wa vyakula vinavyouzwa hapo sasa uko shakani kutokana na miundombinu hafifu, vurugu za daladala na wingi wa watu

Wafanyabiashara waliokuwa ndani ya kituo nao sasa wanabanana na wengine hapo sokoni
Sasa hivi hali ni hiyo ya vumbi je ikinyesha mvuta patakuwaje?

Dhana ya maendeleo na maamuzi kengeufu

Sijui huyo mwekezaji ana nguvu kiasi gani na sina hakika walioruhusu kituo kigeuzwe karakana kama waliwaza kwa weledi, hekima na uzalendo.. Kuondoa watu wote wale na uwekezaji wote ule na kusababisha adha ya usafiri na ongezeko la gharama kwa abiria na usumbufu mwingine mwingi ni maamuzi yenye kutatiza mno na shaka kubwa juu ya hekima ya waliobariki hilo zoezi!

Hata hivyo kama ilibidi kupisha maendeleo mengine basi haya yaliyokuwepo tayari yangetafutiwa mbadala mapema na kabla ya haya mapya. Nina hakika mwekezaji mpya kalipa pesa kulipata lile Eneo, sasa kwanini pesa hizo zisitumike kutengeneza mbadala wa kilichokuwepo ili kuepusha usumbufu, hasara na adha kwenye maisha?

Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili? Mtumwa anayepaswa kutii kila agizo bila kuhoji hata kama haki zake za msingi zinapokwa? Aende wapi sasa🥺

Pale Simu 2000 kuna kila aina ya harufu ya uvundo mkali wa maadili na uzalendo.. Waliofanya hiyo dili wakakubali sijui walipewa nini huko na walisainishwa mikataba ya aina gani huko! Maana ni wazi mwenye eneo kacharuka anataka eneo lake na wao walikuwa bado hawajajiandaa kulikabidhi kwake!

Soma Pia:
Wanaoumia na kuteseka sasa ni wananchi wenye nchi yao! Lakini la kushangaza zaidi vyombo vya habari karibia vyote hakuna hata kimoja kilichoripoti hali ilivyo simu 2000 .

Je wametishwa? Na nani?
Kama mwekezaji kafaulu kufanya hivyo pale Mawasiliano Simu 2000 tujiandae kwa machungu mengi zaidi.

Tanganyika...!🤔🙇🏿‍♂View attachment 3100763
Huu ndio ufujaji wa mali za umma mkuu,gharama iliotumika kutengeneza eneo lile ni kubwa sana na sasa wanaenda mwaga petrol na diesel chafu,huyo muwekezaji km sio muarabu sijui imeikosakosa atakua mchina,hii nchi mpk waliopo sasa wakiondoka tutauzwa mpk sisi wenyewe hawaachi kitu
 
Haya mambo yakiendelea hivi na kwingine ni wazi Tanganyika inarudishwa utumwani

Mwanzoni mwa wiki hii kituo kizuri cha daladala cha Mawasiliano Simu 2000 kilifungwa rasmi na fremu zote zinazohudumia kutoka ndani ya kituo kuvunjwa ili kumpisha mwekezaji mpya anayetaka kuweka karakana ya mabasi ya mwendokasi

Kwa siku tatu mfululizo pale Simu 2000 ilikuwa ni zogo hasa nyakati za jioni kwakuwa magari ya abiria toka kona zote za jiji yalikuwa yanasimama barabarani kupakia na kushusha abiria

Sasa zimechukuliwa hatua sijui ni za dharura ama la, 'kutengeneza kituo kipya' ndani ya soko la vyakula na matunda lililoko pembeni ya kituo

Imagine sehemu ya soko hilo ilivyo ndogo na isiyo na miundombinu ya magari hasa ya abiria sasa ni sehemu ya kupakia na kushusha abiria 🤔😭
Mahali palipokuwa panafanyika mnada wa mahindi, miwa nk sasa ni maegesho ya daladala kupakia na kushusha abiria

Hapana zege, hapana lami, hapajasindiliwa ni mavumbi kwenda mbele na zile vurugu za daladala
Usalama na usafi wa vyakula vinavyouzwa hapo sasa uko shakani kutokana na miundombinu hafifu, vurugu za daladala na wingi wa watu

Wafanyabiashara waliokuwa ndani ya kituo nao sasa wanabanana na wengine hapo sokoni
Sasa hivi hali ni hiyo ya vumbi je ikinyesha mvuta patakuwaje?

Dhana ya maendeleo na maamuzi kengeufu

Sijui huyo mwekezaji ana nguvu kiasi gani na sina hakika walioruhusu kituo kigeuzwe karakana kama waliwaza kwa weledi, hekima na uzalendo.. Kuondoa watu wote wale na uwekezaji wote ule na kusababisha adha ya usafiri na ongezeko la gharama kwa abiria na usumbufu mwingine mwingi ni maamuzi yenye kutatiza mno na shaka kubwa juu ya hekima ya waliobariki hilo zoezi!

Hata hivyo kama ilibidi kupisha maendeleo mengine basi haya yaliyokuwepo tayari yangetafutiwa mbadala mapema na kabla ya haya mapya. Nina hakika mwekezaji mpya kalipa pesa kulipata lile Eneo, sasa kwanini pesa hizo zisitumike kutengeneza mbadala wa kilichokuwepo ili kuepusha usumbufu, hasara na adha kwenye maisha?

Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili? Mtumwa anayepaswa kutii kila agizo bila kuhoji hata kama haki zake za msingi zinapokwa? Aende wapi sasa🥺

Pale Simu 2000 kuna kila aina ya harufu ya uvundo mkali wa maadili na uzalendo.. Waliofanya hiyo dili wakakubali sijui walipewa nini huko na walisainishwa mikataba ya aina gani huko! Maana ni wazi mwenye eneo kacharuka anataka eneo lake na wao walikuwa bado hawajajiandaa kulikabidhi kwake!

Soma Pia:
Wanaoumia na kuteseka sasa ni wananchi wenye nchi yao! Lakini la kushangaza zaidi vyombo vya habari karibia vyote hakuna hata kimoja kilichoripoti hali ilivyo simu 2000 .

Je wametishwa? Na nani?
Kama mwekezaji kafaulu kufanya hivyo pale Mawasiliano Simu 2000 tujiandae kwa machungu mengi zaidi.

Tanganyika...!🤔🙇🏿‍♂View attachment 3100763
Mwekezaji how? Mradi wa mwendokasi si mradi wa serikali?
 
Katakana ilikuwa iwe ubungu bus terminal(stendi ya mkoa zamani)
Walipompa mchina ndiyo wakaamua kuwaondoa watu sm2000

Ova
mmmh mkuu hakiki taarifa zako...Leo nimeenda kupiga picha za gari la kuuza pale ubungo, jengo la mchina lipo kwa mbele na pakin ya mwendokasi ipo kwa nyuma tena kuna Barabara kabisa inatenganisha, una hoja lakini unachanganya changanya mambo ,hakiki chanzo Cha taarifa zako
 
Kwanini mwananchi mwenye nchi yake anayepaswa kupewa heshima, thamani na kipaumbele namba moja anageuzwa kama raia wa daraja la pili?

Hawa raia nao tunawahitaji wajitokeze kwa uwingi wao tarehe 23 September 2024 kwa maandamano kupeleka ujumbe kwa watawala.
 
Back
Top Bottom