Yaliyoko Simu2000 yanaumiza na kuhuzunisha sana

Yaliyoko Simu2000 yanaumiza na kuhuzunisha sana

Eneo la Halmashauri na imeamua kumpa Dart kujenga karakana
Eneo lile sio la mtu, hivyo anayehisika nalo ana ruhusa ya kufanya kila awezalo
 
Kwamba jangwani ni mbuga ya wanyama kuna simba?
Au mimi ndo sijaelewa.
Huwezi kuelewa kama umeshindwa hata kuwa na general meaning ya neno Jangwa ukaandika eti mbuga ya wanyama. Wewe ni kilaza pro max. Ungefikiria hata kidogo ili kuweza uliza swali ulilotaka kuliuliza kwa kutaka kujenga hoja.
 
Huwezi kuelewa kama umeshindwa hata kuwa na general meaning ya neno Jangwa ukaandika eti mbuga ya wanyama. Wewe ni kilaza pro max. Ungefikiria hata kidogo ili kuweza uliza swali ulilotaka kuliuliza kwa kutaka kujenga hoja.
Sasa wewe ndo kilaza wa mwisho
Dar jangwa lipo wapi?
tumia akili.
 
Inapobidi wachache kwa manufaa ya wengi.
Shida according to yaliyoshafanyika ni vice versa..., pili kama mipango ingefanyika na kuandaa mambo kwa plan wala yanayoendelea yasingetokea, wangesambaza na kuhamisha watu kabla
 
Back
Top Bottom