Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba jangwani ni mbuga ya wanyama kuna simba?Huwezi ukawa na akili timamua ukaenda jenga Jangwani
Huwezi kuelewa kama umeshindwa hata kuwa na general meaning ya neno Jangwa ukaandika eti mbuga ya wanyama. Wewe ni kilaza pro max. Ungefikiria hata kidogo ili kuweza uliza swali ulilotaka kuliuliza kwa kutaka kujenga hoja.Kwamba jangwani ni mbuga ya wanyama kuna simba?
Au mimi ndo sijaelewa.
Sasa wewe ndo kilaza wa mwishoHuwezi kuelewa kama umeshindwa hata kuwa na general meaning ya neno Jangwa ukaandika eti mbuga ya wanyama. Wewe ni kilaza pro max. Ungefikiria hata kidogo ili kuweza uliza swali ulilotaka kuliuliza kwa kutaka kujenga hoja.
Tutafika kuzimu ahera mbinguni tumechakaa sanaHii nchi
Kwa faida ya nani ? Nilidhani miradi yote inakuja kuwanusuru watu ?Kunapokuwa na mradi mpya watu lazima waathirike.
Naunga mkono hojaTutafika kuzimu ahera mbinguni tumechakaa sana
Mkuu Unamaanisha.... Bidhaa nyingi za china tutakuwa tunazipata hapo kwa bei nafuu kabisa??Hapo panajengwa soko la kimataifa la Wachina.
Mapori ya chuo gani mkuu? Kama ni mapori ya UDSM mule ndani kuna mambo ya kijeshi hufanyika .
Inapobidi wachache kwa manufaa ya wengi.Kwa faida ya nani ? Nilidhani miradi yote inakuja kuwanusuru watu ?
Shida according to yaliyoshafanyika ni vice versa..., pili kama mipango ingefanyika na kuandaa mambo kwa plan wala yanayoendelea yasingetokea, wangesambaza na kuhamisha watu kablaInapobidi wachache kwa manufaa ya wengi.
Acha tuu mtani...Hii nchi
Inasikitisha sana yaani sana 😭Acha tuu mtani...
Sawa ,wewe mwenye akili una maoni gani?Huna akili.
Kila kitu kinaenda hovyo...Mungu atusadieInasikitisha sana yaani sana 😭
Wewe Mbumbumbuest. We umeona Dar nimetaja Jangwa? Watu wa mikoani mna ushamba wa kipumbavu na ujuaji choo.Sasa wewe ndo kilaza wa mwisho
Dar jangwa lipo wapi?
tumia akili.
Kama vile upo Guangzhou..Mkuu Unamaanisha.... Bidhaa nyingi za china tutakuwa tunazipata hapo kwa bei nafuu kabisa??


Ehee.Wewe Mbumbumbuest. We umeona Dar nimetaja Jangwa? Watu wa mikoani mna ushamba wa kipumbavu na ujuaji choo.
Wewe Mbumbumbuest. We umeona Dar nimetaja Jangwa? Watu wa mikoani mna ushamba wa kipumbavu na ujuaji choo.