Yaliyoko Simu2000 yanaumiza na kuhuzunisha sana

Maendeleo ya wananchi ambayo hayawahusishi wananchi kuyapanga
 
Mbona unataka kutengenezea fitina?
Sawa,, hebu Tafuta neno linalosomeka BRT isijengwe kutoka kwenye thread ya Mshana Jr
Mkuu hapo utaumiza kichwa bure. Hao wanaitwa PRAISE TEAM. Kazi yao ni kusifu chochote kile kinachofanywa na serikali ya CCM. Kama hujawahi kukutana nao basi huyo ni mmoja wao. Mimi ninao wengi sana wapo kwenye Ignoring List.
 
Kuna stand mpya mwenge na haina magari zaidi ya yanayo kwenda mabibo, kwanini wasifute TLB ya mawasiliano wawape ya Mwenge ikiwezekana na gari za kwenda gerezani na posta zianzie mwenge, maana ile stand ni kubwa na haina inachofanya
 
Kuna stand mpya mwenge na haina magari zaidi ya yanayo kwenda mabibo, kwanini wasifute TLB ya mawasiliano wawape ya Mwenge ikiwezekana na gari za kwenda gerezani na posta zianzie mwenge, maana ile stand ni kubwa na haina inachofanya
Nafikiri ndo lengo la kuifuta stend ya mawasiliano.
They're right Kwa pale,Maana uwepo wa stendi ya mawasiliano una tatzo uwepo wa stendi ya mwenge.
 
Mapori ya chuo gani mkuu? Kama ni mapori ya UDSM mule ndani kuna mambo ya kijeshi hufanyika .
Mambo gani ya kijeshi wakati jeshi lenyewe lina poli lake. Nadhani unazungumzia kile kikosi cha Komandi ya anga. Wale poli lote la Changanyikeni ni lao.
 
mshana siku zote ukifanya maamuzi ya kisiasa kwa mambo yenye sheria na utaratibu, lazima ipo siku utakwama tuu. Na hili ni kwetu sote wananchi na serikali. Mambo mengi bongo tunaweka siasa. Siku viongozi na wananchi wakijifunza kuheshimu sheria na kanuni, ndo tutakuwa tumeianza safari ya maendeleo.
 

View attachment 3101781
Kule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
Ngozi nyeusi ukichanganya na uchadema matokeo yake uwendawazimu! Kwaakili yako eti kisa ulikua unauzia maembe hapo sokoni ndio unataka BRT isijengwe? Foolish
What a wasted manii... ! A single condom of Tsh 500/= could have solved a lot of dungs.!!!
 

View attachment 3101781
Kule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
Ngozi nyeusi ukichanganya na uchadema matokeo yake uwendawazimu! Kwaakili yako eti kisa ulikua unauzia maembe hapo sokoni ndio unataka BRT isijengwe? Foolish
What a wasted manii... ! A single condom of Tsh 500/= could have solved a lot of
Nafikiri ndo lengo la kuifuta stend ya mawasiliano.
They're right Kwa pale,Maana uwepo wa stendi ya mawasiliano una tatzo uwepo wa stendi ya mwenge.
Wafanye maamuzi ya haraka maana abiria wanateseka sana kwa sasa kwa msongamano na vumbi hapo bado mvua
 

View attachment 3101781
Kule Morogoro akili ni hiyohiyo, walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
walifunga stand ya daladala ikageuzwa sehemu ya kuuzia dawa za nguvu za kiume
Ngozi nyeusi ukichanganya na uchadema matokeo yake uwendawazimu! Kwaakili yako eti kisa ulikua unauzia maembe hapo sokoni ndio unataka BRT isijengwe? Foolish
What a wasted manii... ! A single condom of Tsh 500/= could have solved a lot of
Sio kweli,stand ya makumbusho ilikuwa ya kudumu,ya mwenge ndio ilikuwa ya muda enzi zile
Sasa sijajua nn kimefanya stand ya Mwenge irudi na Kama kweli ya makumbusho inaondoshwa Basi utakuwa ni muendelezo ya mipango ya kukurupuka iliyozoeleka nchi hii
Makumbusho ni kweli kuna permanent stand ya kitambo lakini sio hii ya sasa waliyoipa hadhi ya stand kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…