Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
- Thread starter
- #21
So what ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what ?
Kipindi cha JPM asingethubutu kuandika huu ujinga,alikuwa anaandika kiuogauoga sasa anamwaga sumu adharani snajua hakuna wa kumfanya kitu ni mpotoshaji mkubwa huyu mzee
Ujamaa...Anajua hana maisha marefu kwahio kazi yake ni kuhubiri chuki, kueneza uongo na ufitini kwene makundi ya watu ili kuwajaza watu jazba, kutengeneza utengano na kusababisha chuki dhidi ya jamii ya wakristu nchini. Mzee anataka atuachie vijana msala leo hii kikinuka na taifa kupalanganyika yeye hana cha kupoteza kwasababu hana nguvu za maisha marefu huko mbeleni kama sisi. Taifa hili limejengwa sana na umoja mpk hapa lilipo mwalimu hakufanya kazi ndogo ya kuunganisha jamii zote zene mamia ya imani tofauti afu gafla anatokea kikongwe mmoja kazi yake ni kuwasema vibaya watu hasa wa jamii tofauti kiimani na yeye. Tutaendelea kumwambia ukweli wala hatutasita kumkumbusha umuhimu wa umoja, amani na mshikamano.
1988 ni CCM pekee.Halmashauri kuu ya chama Gani na mtikila alikuwa chama Gani kabla ya kuandika tafuta usahihi wa habari zako
Mnamchokoza wenyewe mkipewa fact, mnashindwa kujibu hoja kwa hoja mnabaki kuandika hayo uliyoandika.Anajua hana maisha marefu kwahio kazi yake ni kuhubiri chuki, kueneza uongo na ufitini kwene makundi ya watu ili kuwajaza watu jazba, kutengeneza utengano na kusababisha chuki dhidi ya jamii ya wakristu nchini. Mzee anataka atuachie vijana msala leo hii kikinuka na taifa kupalanganyika yeye hana cha kupoteza kwasababu hana nguvu za maisha marefu huko mbeleni kama sisi. Taifa hili limejengwa sana na umoja mpk hapa lilipo mwalimu hakufanya kazi ndogo ya kuunganisha jamii zote zene mamia ya imani tofauti afu gafla anatokea kikongwe mmoja kazi yake ni kuwasema vibaya watu hasa wa jamii tofauti kiimani na yeye. Tutaendelea kumwambia ukweli wala hatutasita kumkumbusha umuhimu wa umoja, amani na mshikamano.
Mtikila alikuwa mwanachama wa ccm au mjumbe wa halmashauri kuu1988 ni CCM pekee.
DP, CHADEMA, CUF vilianzishwa 1992.
Mnamchokoza wenyewe mkipewa fact, mnashindwa kujibu hoja kwa hoja mnabaki kuandika hayo uliyoandika.
Nani anaemchokoza mwanzilishi wa hoja ni yeye. Fact zipi hizo. Hoja ipi ilioshindwa kujibiwa. Angalia majibu yangu na majibu ya msemaji wa familia ya wakimbizi akina sykes utagundua majibu yake yanaenda sehemu tofauti na mjadala yeye kaleta Habari za mwinyi kajibiwa vyema tena majibu ya kuchoma moyo wake gafla kaja na fikra zake za 20/80. Iwapo huwa unasoma maandishi ya mtu huyu basi utakubaliana vyema nami hapo juu ila ukiweka upofu utapotoka. Tutakabiliana vyema jukwaa hili lakini daima nasisitiza umoja amani na mshikamano kama alivyofanya hayati baba wa taifa.
Ujamaa...Nani anaemchokoza mwanzilishi wa hoja ni yeye. Fact zipi hizo. Hoja ipi ilioshindwa kujibiwa. Angalia majibu yangu na majibu ya msemaji wa familia ya wakimbizi akina sykes utagundua majibu yake yanaenda sehemu tofauti na mjadala yeye kaleta Habari za mwinyi kajibiwa vyema tena majibu ya kuchoma moyo wake gafla kaja na fikra zake za 20/80. Iwapo huwa unasoma maandishi ya mtu huyu basi utakubaliana vyema nami hapo juu ila ukiweka upofu utapotoka. Tutakabiliana vyema jukwaa hili lakini daima nasisitiza umoja amani na mshikamano kama alivyofanya hayati baba wa taifa.
Sedo...Hivi we baba huwa una Nini kikusumbuacho kichwani? Hakuna mada humu ambayo hujazungumzia ama hujaiunganisha na dini!
Ni kwanini we'we Ni mdini Sana?
Mda wote unawaza na kuandika kuhusu dini hat kwenye mada zisohusu Hili.
Jibu...
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Nawewe unatuchosha kutwa unazungumzia mambo ya kimila ya waarabu, na dini yao ya kishenzi.Kwa hakika kipindi cha utawala wa Mwinyi hakupungukiwa na watu waliokuwa wanaona raha kumshambulia.
Ilisikitisha kuwa kulikuwa na magazeti yalimpa nafasi Reverend Mtikila kumshambulia Rais.
Kuna baadhi ya vijana wa wakati ule waliona wana wajibu na dhima kubwa ya kumtetea Rais pale ilipodhihiri kuwa hakuwa na mtetezi.
Nilikuwa mmojawapo wa vijana walioamua kumtetea Rais Mwinyi.
Namsoma Rais Mwinyi, ''Mzee Rukhsa Historia ya Maisha Yangu,'' na natingisha kichwa kwa mengi ninayokutananayo.
Natingisha kichwa kwa kuwa baadhi ya matukio na mambo yaliyomo kitabuni mimi na wenzangu tuliyafahamu kwa undani na tuliyaandika kwa yale yaliyostahili kuandikwa na mengine tuliyanyamazia.
Hapo chini kuna "Memories" post niliyoandika baada ya kutoka kumbukumbu za Rais Ali Hassan Mwinyi.
Ukiwa umesoma kitabu cha Mzee Mwinyi na ukawa umesoma kitabu cha Abdul Sykes (1998) utaona kuna mambo muhimu na mazito yamepishana kwa kiasi kikubwa.
Nilipata kumpa kitabu hicho Mzee Mwinyi nikiwa na nia akisome na ajue mchango wa Waislam katika kupambana na wakoloni kuanzia enzi za Vita Vya Maji Maji 1905.
Picha yangu hiyo hapo chini nikimkabidhi Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kitabu cha Abdul Sykes.
![]()
Hi 20.80 umeileta tena?Ujamaa...
Huenda hujui ukweli au unaujua unakutisha.
Serikali na fursa zimegawanyika kwa 20:80.
Hili ni tatizo kubwa linalotukabili.
Bei...Nawewe unatuchosha kutwa unazungumzia mambo ya kimila ya waarabu, na dini yao ya kishenzi.
Day...Hi 20.80 umeileta tena?
Maana uliwahi kuandika nikakuuliza maswali ukademka tu.
Wengine hatusahau unavyo rob rob tu.
Wapi nimekutukana?Bei...
Lakini huu ni uwanja huru mtu ana rukhsa ya kuandika apendacho hakatazwi.
Ikiwa wewe unachoka kunisoma unaacha kunisoma wala hulazimishwi.
Wala huna sababu ya kunitukana.
Hapa matusi hayaruhusiwi.
Nawewe unatuchosha kutwa unazungumzia mambo ya kimila ya waarabu, na dini yao ya ''kishenzi.''Wapi nimekutukana?
Yes mi ni malaya kama marehemu muhammad tu alivyokuwa kicheche😂 Hadi akamwingilia binti wa miaka 9 (alikuwa mbakaji)Nawewe unatuchosha kutwa unazungumzia mambo ya kimila ya waarabu, na dini yao ya ''kishenzi.''
Yes mi ni malaya kama marehemu muhammad tu alivyokuwa kicheche[emoji23] Hadi akamwingilia binti wa miaka 9 (alikuwa mbakaji)
Ujamaa...Hapana mkuu hii haifai usiumize hisia za watu sisi pia huwa hatufrahii tukiskia bwana yesu Kristu katukanwa hadharani namna hii. Tuendelee kumkumbusha babu umuhimu wa umoja mshikamano na amani kama alivyofanya baba wa taifa kuliunganisha taifa hili mpaka leo hii licha ya mapungufu flani flani. akumbuke nadharia zake hazina fikra njema, pia hio 20/80 hio ni yake zaidi atambuke hakuna 50/50 Dunia hii huko visiwani ni 1/99. Atambue pia tabia za ndugu zake kama alivyo yeye walivyo na haiba za jazba, ufitini na kuvutia upande wao lakini babu akumbuke ndugu zake yaliyowakuta pale c/africa baada ya kujisahau sana kama yeye pili akumbuke yanayowakuta ndugu zetu wakristu kule Nigeria kisa ufitini wa magaidi walio kwene mgongo wa dini lakini pia akumbuke mchina mambo flani flani akawaweka ndugu zao wanaosema ni ndugu zao karantini kwa tabia flani flani ovu kama za mzee wetu. Yeye mwendo kaumaliza salama mda sio mlefu ataenda kula na kunywa na akina krest sykes akina abubakar mwilima, dossa aziz bila kumsahau John lupia japo mzee anayachukia majina haya sababu zipo wazi ila anataka tufarakane afu tutengane amesahau imani hizi wameoleana sana amesahau anapokula tende na maziwa mixa alkasusi asubuhi huku akina biliani mchana na futari usiku kule somalia upuuzi wa maandishi kama yake, utengano wao kijamii umewafanya wakafarakana mpk leo hii wanaongoza kwa njaa na kukimbia nchi mbaya zaidi wanakimbikia kwa wakatoliki ila sio kule kwa ndugu zao mashariki ya kati. Babu endelea kushiba kacholi, kashata na juice ya tende ila kikinuka utatafuta pa kutokea sio Abbas sykes wala Abdul msham au dossa aziz atamsaidia mwenzie kila mtu atakua busy kutafuta pa kutokea amani hii tusiitumie vibaya huu umoja tuudumishe pia mshikamano Uwe jadi yetu.