Yaliyomfika Rais Ali Hassan Mwinyi katika utawala wake 1985 - 1995

Yaliyomfika Rais Ali Hassan Mwinyi katika utawala wake 1985 - 1995

mlimtetea Mwinyi kisa OIC sio jambo lolote la kisiasa;

Mzee katika jukwaa hili udini wako uonekana waziwazi,huo ni mfano wa mawazo finyu!

Yaani Mwinyi hakuwa na issue ngumu za kumtetea hadi OIC?,
Mdukuzi...
Bahati mbaya kwako huna lugha ya kistaarabu.

Ungejiepusha na naneno kama haya "chawa," na ukataka mjadala wa kisomi ningeandika hapa mambo ambayo sote tungenufaika.

Lakini nitakudokeza kitu.
Walikuja watu kutuomba msaada na ilikuwa katika sakata la OIC mwaka wa 1993.

Bunge limekuja juu dhidi ya Rais Mwinyi.

Wahariri wa magazeti yote hadi magazeti ya CCM yako dhidi ya Rais.

Rais alikuwa mpweke hana msaada wa yeyote.

Hapo tukaingia katika mapambano.
Barua yetu ya kwanza tulimwandikia Speaker wa Bunge Pius Msekwa.

Sikiliza ndugu yangu.
Barua ile iliwashtua.

Wakauliza hawa ni Waislam kweli?
Hawakupata kusoma barua kama ile.

Angalia hiyo picha ya gazeti la African Events (London) Rais Mwinyi yuko kwenye meli inayoshambuliwa baharini na mabomu.

Katika miji mikubwa tukamwaga barua zinazoeleza kwa nini Rais anapigwa vita na chama chake na watendaji wa serikali.

Ukiwa mstaarabu na unataka kusoma.

In Shaa Allah nitakusomesha na mjadala huu utapendeza.
 
Kwa hakika kipindi cha utawala wa Mwinyi hakupungukiwa na watu waliokuwa wanaona raha kumshambulia.

Ilisikitisha kuwa kulikuwa na magazeti yalimpa nafasi Reverend Mtikila kumshambulia Rais.

Kuna baadhi ya vijana wa wakati ule waliona wana wajibu na dhima kubwa ya kumtetea Rais pale ilipodhihiri kuwa hakuwa na mtetezi.

Nilikuwa mmojawapo wa vijana walioamua kumtetea Rais Mwinyi.

Namsoma Rais Mwinyi, ''Mzee Rukhsa Historia ya Maisha Yangu,'' na natingisha kichwa kwa mengi ninayokutananayo.

Natingisha kichwa kwa kuwa baadhi ya matukio na mambo yaliyomo kitabuni mimi na wenzangu tuliyafahamu kwa undani na tuliyaandika kwa yale yaliyostahili kuandikwa na mengine tuliyanyamazia.

Hapo chini kuna "Memories" post niliyoandika baada ya kutoka kumbukumbu za Rais Ali Hassan Mwinyi.

Ukiwa umesoma kitabu cha Mzee Mwinyi na ukawa umesoma kitabu cha Abdul Sykes (1998) utaona kuna mambo muhimu na mazito yamepishana kwa kiasi kikubwa.

Nilipata kumpa kitabu hicho Mzee Mwinyi nikiwa na nia akisome na ajue mchango wa Waislam katika kupambana na wakoloni kuanzia enzi za Vita Vya Maji Maji 1905.

Picha yangu hiyo hapo chini nikimkabidhi Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kitabu cha Abdul Sykes.

May be an image of 4 people and people standing
Ahahahahaha! Umeeudi tena. Kwakuwa Laigwanan Mzee Lowassa sio Mwislamu hata kutoa pole hapana, bali unamzunguzia Mzee Sykes wa miaka dahali! Haya bwana!
 
Mdukuzi...
Bahati mbaya kwako huna lugha ya kistaarabu.

Ungejiepusha na naneno kama haya "chawa," na ukataka mjadala wa kisomi ningeandika hapa mambo ambayo sote tungenufaika.

Lakini nitakudokeza kitu.
Walikuja watu kutuomba msaada na ilikuwa katika sakata la OIC mwaka wa 1993.

Bunge limekuja juu dhidi ya Rais Mwinyi.

Wahariri wa magazeti yote hadi magazeti ya CCM yako dhidi ya Rais.

Rais alikuwa mpweke hana msaada wa yeyote.

Hapo tukaingia katika mapambano.
Barua yetu ya kwanza tulimwandikia Speaker wa Bunge Pius Msekwa.

Sikiliza ndugu yangu.
Barua ile iliwashtua.

Wakauliza hawa ni Waislam kweli?
Hawakupata kusoma barua kama ile.

Angalia hiyo picha ya gazeti la African Events (London) Rais Mwinyi yuko kwenye meli inayoshambuliwa baharini na mabomu.

Katika miji mikubwa tukamwaga barua zinazoeleza kwa nini Rais anapigwa vita na chama chake na watendaji wa serikali.

Ukiwa mstaarabu na unataka kusoma.

In Shaa Allah nitakusomesha na mjadala huu utapendeza.
Nimeshaelewa kwa nini Nyerere aliivunja EAMWS.
 
Nimeshaelewa kwa nini Nyerere aliivunja EAMWS.
Yoda,
Mtihani mkubwa aliokuwanao Nyerere ilikuwa atatatua vipi tatizo la Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.

Alikuwa keshafanikiwa kuivunja EAMWS kilichobaki ni kuitisha mkutano wa masheikh vibaraka waunde jumuiya mpya ya Waislam na ufanyike uchaguzi wa viongozi.

Masheikh vibaraka wakawa katika mtanziko.

Vipi tuitishe uchaguzi wa viongozi wa Waislam ilhali miongoni mwao hayuko Sheikh Hassan bin Ameir?

Hili litawezekana vipi?

Sheikh gani atakuwa na ujasiri kukubali uongozi wa Waislam wakati Sheikh Hassan bin Ameir yuko Tanganyika na anasomesha darsa zake misikitini?

Kizingiti hiki kilikuwa kikubwa.

Madam Mufti Sheikh Hassan bin Ameir yuko Dar es Salaam hilo halitawezekana.

Waislam wakapanga kuitisha mkutano Ukumbi wa Arnautoglo wawajadili masheikh vibaraka wanaotaka kuvunja umoja wa Waislam.

Hizi zilikuwa juhudi za vijana wa Sheikh Hassan bin Ameir Mussa Kwikima na Bilal Waikela.

Allah kwa rehema zake amejaaliwa kuwepò mapenzi makubwa baina ya yangu na Mzee Waikela na Kwikima pamoja na Hamza Aziz.

Tukawa pamoja hadi wote walipotangulia mbele ya haki wakiniacha mpweke.

Wote hawa nimewaandikia taazia huku nikimwagikwa na machozi ndani ya moyo wangu.

Mzee Waikela na Wakili Msomi Mussa Kwikima juu ya udogo wangu wa umri na kila kitu wakija Dar-es-Salaam lazima watakuja nyumbani kwangu kunisalimu.

Mimi na Hamza Aziz tulikuwa na Majlis yetu nyumbani kwake kibandani ufukweni.

Nimechota mengi kutoka kwao.
Alhamdulilah.

Vipi utapatikana uongozi nje ya Sheikh Hassan bin Ameir?
Nyerere akawa kapwelewa.

Akamwagiza Said Ali Maswanya Waziri wa Mambo ya Ndani ampe amri Hamza Aziz amkamate Sheikh Hassan bin Ameir kwa tuhuma za kupanga kupindua serikali.

Hamza Aziz akakataa kutii amri ya kumkamata Mufti.

Maofisa wa Usalama wa Taifa ndipo wakaenda wao nyumbani kwa Sheikh Hassan bin Ameir Magomeni usiku kumkamata.

Nyumba hii haipo mbali na nyumba ya Maalim Matar.

Kwa miaka mingi mimi nikiamini kuwa Sheikh Hassan walimtoa kitandani amelala.

Mwanafunzi wa mwanafunzi wa Sheikh Hassan bin Ameir simjui hanijui aliniona nje ya Msikiti wa Kichangani akanieleza kuwa amenisikia mara nyingi nikisema kuwa Sheikh Hassan alikuwa kavamiwa usiku.

Yule kijana akaniambia kuwa mwalimu wake amemweleza kuwa Sheikh Hassan alikuwa anajua kuwa usiku ule atakuja kukamatwa.

Sheikh alivaa nguo zake vizuri akakaa nyumbani kwake akiwasubiri huku anavuta uradi.

Walipogonga mlango wake akawatokea kuwakabili.
Ndege ilikuwa tayari imetayarishwa.

Sheikh Hassan hakurudi tena Tanganyika hadi umauti ulipomfika.

Baada ya kuwa sasa Sheikh Hassan bin Ameir hayuko tena kwenye ardhi ya Tanganyika ndipo masheikh vibaraka wakafanya mkutano wao Iringa na BAKWATA ikaundwa.

Chuo Kikuu kilichokuwa kinajengwa na EAMWS ndiyo ukawa mwisho pamoja na miradi yote ya elimu.

Inatosha.
Nimekuongezea ili somo hili ilijue vyema.
 
Yoda,
Mtihani mkubwa aliokuwanao Nyerere ilikuwa atatatua vipi tatizo la Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.

Alikuwa keshafanikiwa kuivunja EAMWS kilichobaki ni kuitisha mkutano wa masheikh vibaraka waunde jumuiya mpya ya Waislam na ufanyike uchaguzi wa viongozi.

Masheikh vibaraka wakawa katika mtanziko.

Vipi tuitishe uchaguzi wa viongozi wa Waislam ilhali miongoni mwao hayuko Sheikh Hassan bin Ameir?

Hili litawezekana vipi?

Sheikh gani atakuwa na ujasiri kukubali uongozi wa Waislam wakati Sheikh Hassan bin Ameir yuko Tanganyika na anasomesha darsa zake misikitini?

Kizingiti hiki kilikuwa kikubwa.

Madam Mufti Sheikh Hassan bin Ameir yuko Dar es Salaam hilo halitawezekana.

Waislam wakapanga kuitisha mkutano Ukumbi wa Arnautoglo wawajadili masheikh vibaraka wanaotaka kuvunja umoja wa Waislam.

Hizi zilikuwa juhudi za vijana wa Sheikh Hassan bin Ameir Mussa Kwikima na Bilal Waikela.

Allah kwa rehema zake amejaaliwa kuwepò mapenzi makubwa baina ya yangu na Mzee Waikela na Kwikima pamoja na Hamza Aziz.

Tukawa pamoja hadi wote walipotangulia mbele ya haki wakiniacha mpweke.

Wote hawa nimewaandikia taazia huku nikimwagikwa na machozi ndani ya moyo wangu.

Mzee Waikela na Wakili Msomi Mussa Kwikima juu ya udogo wangu wa umri na kila kitu wakija Dar-es-Salaam lazima watakuja nyumbani kwangu kunisalimu.

Mimi na Hamza Aziz tulikuwa na Majlis yetu nyumbani kwake kibandani ufukweni.

Nimechota mengi kutoka kwao.
Alhamdulilah.

Vipi utapatikana uongozi nje ya Sheikh Hassan bin Ameir?
Nyerere akawa kapwelewa.

Akamwagiza Said Ali Maswanya Waziri wa Mambo ya Ndani ampe amri Hamza Aziz amkamate Sheikh Hassan bin Ameir kwa tuhuma za kupanga kupindua serikali.

Hamza Aziz akakataa kutii amri ya kumkamata Mufti.

Maofisa wa Usalama wa Taifa ndipo wakaenda wao nyumbani kwa Sheikh Hassan bin Ameir Magomeni usiku kumkamata.

Nyumba hii haipo mbali na nyumba ya Maalim Matar.

Kwa miaka mingi mimi nikiamini kuwa Sheikh Hassan walimtoa kitandani amelala.

Mwanafunzi wa mwanafunzi wa Sheikh Hassan bin Ameir simjui hanijui aliniona nje ya Msikiti wa Kichangani akanieleza kuwa amenisikia mara nyingi nikisema kuwa Sheikh Hassan alikuwa kavamiwa usiku.

Yule kijana akaniambia kuwa mwalimu wake amemweleza kuwa Sheikh Hassan alikuwa anajua kuwa usiku ule atakuja kukamatwa.

Sheikh alivaa nguo zake vizuri akakaa nyumbani kwake akiwasubiri huku anavuta uradi.

Walipogonga mlango wake akawatokea kuwakabili.
Ndege ilikuwa tayari imetayarishwa.

Sheikh Hassan hakurudi tena Tanganyika hadi umauti ulipomfika.

Baada ya kuwa sasa Sheikh Hassan bin Ameir hayuko tena kwenye ardhi ya Tanganyika ndipo masheikh vibaraka wakafanya mkutano wao Iringa na BAKWATA ikaundwa.

Chuo Kikuu kilichokuwa kinajengwa na EAMWS ndiyo ukawa mwisho pamoja na miradi yote ya elimu.

Inatosha.
Nimekuongezea ili somo hili ilijue vyema.
Hii [emoji115] sababu ina mashiko zaidi.
 
Mdukuzi,
Ipo faida kubwa ukajizuia na kejeli tukafanya mjadala wa kuheshimiana.
Mathalan ungesema hivi, "Ilikuwaje Ofisi ya Rais ikawa dhaifu kiasi hiki?"

Hivi mimi nitakuchukua kama mtu muungwana anaetafuta ukweli.

Usidhani mimi nafanya maskhara.
Nakueleza mambo yaliyotokea kweli.

Nyaraka za siri na muhimu za serikali zilikuwa zinavuja zinawafikia wahariri wa magazeti.

Najizuia kukueleza mengi yaliyokuwa yakitendeka.
Lakini ikiwa wewe unadhani mimi ni mtu unaeweza kunikejeli si neno.
Mikadala ya kuheshimiana mzee wangu wewe binafsi huiwezi.

Na ndio mada ziko Zina elements za udini.

Unachokoza mada unajua kabisa content yake italeta mihemko na kuvunjiana heshima. Kujimwambafy na Kila upande kuvutia kwake. Hio kuheshimiana itatoka wapi.

Mwinyi kwa nafasi yake sidhani kama alihitaji msaada wenu

Sema nyie wanaharakati wa kidini mliiona fursa na mkaitumia barabara!
 
Mikadala ya kuheshimiana mzee wangu wewe binafsi huiwezi.

Na ndio mada ziko Zina elements za udini.

Unachokoza mada unajua kabisa content yake italeta mihemko na kuvunjiana heshima. Kujimwambafy na Kila upande kuvutia kwake. Hio kuheshimiana itatoka wapi.

Mwinyi kwa nafasi yake sidhani kama alihitaji msaada wenu

Sema nyie wanaharakati wa kidini mliiona fursa na mkaitumia barabara!
Mangungo...

Mimi ningekuwa si muungwana na kalamu yangu nisingetunukiwa Mwandishi Bora Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo.

Mimi ningekuwa naandika dini ya Kiislam kuwalingania watu nisingezungumza University of Iowa, Northwestern University, University of Johannesburg, University of Ibadan, Kenyatta University, University of Dar-es-Salaam, Sokoine University, State University of Zanzibar, Zentrum Moderner Orient na kwengine kwingi.

Mimi sijachokoza mtu yeyote niko hapa nasomesha historia ambayo nyie wote hamkupata kuifahamu hadi kilipochapwa kitabu cha Abdul Sykes London 1998.

Hili la kuwa nina heshima katika uandishi si mimi wa kukueleza wewe hilo.
Iulize nafsi yako itakupa jibu.

Na wala sina uwezo wa kukuzuia kukejeli.

Unaweza kuendelea kufanya hivyo nami nitaendelea kusomesha historia hii.

Niko hapa huu mwaka wa 16 nasomesha historia ya uhuru wa Tanganyika kama ilivyokuwa na nimeelimisha wengi.
 
Shida ya mleta mada ni udini, karibu kila kitu anakileta na kukitetea kwa mrengo wa dini ya kiislamu. Hii sio sawa na sio sahihi. Leo anamzungumzia Mwinyi hapa kwa misingi ya kidini, hivyo atampamba kwa lolote kwa sababu Mwinyi ni muislamu.
Ndioo,udini,udini, udini,hilo ndio tatizo kubwa,ila mleta mada akivua hiyo miwani ya udini,kuna mengi atayaona.
 
Shida ya mleta mada ni udini, karibu kila kitu anakileta na kukitetea kwa mrengo wa dini ya kiislamu. Hii sio sawa na sio sahihi. Leo anamzungumzia Mwinyi hapa kwa misingi ya kidini, hivyo atampamba kwa lolote kwa sababu Mwinyi ni muislamu.
Wakati yeye analalamika na kuwamezesha wenzie sumu.Wengine wako busy kujiimarisha kitaasisi kuanzia ngazi ya Jumuiya hadi jimbo.Ifikapo 2035 kila jimbo la kanisa Katoliki litakuwa na chuo kikuu.Usimwamshe aliyelala!
 
Mdukuzi,
Umeghadhibika.

Ghadhabu huondoa uwezo wa kufikiri sawasawa.
JF iko hapa ingia na angalia nime-post mara ngapi kuanzia 2016.

Lakini usiishie hapo ingia YouTube na angalia nimefanyiwa mahojiano mara ngapi na BBC, DW, SABC, TBC na AZAM na Online TV.

Ningekuwa mpotoshaji ningeshatengwa siku nyingi na vyombo hivi vikubwa.

View attachment 2299231View attachment 2299232
Nimekuja gundua sumu yako inaenea sana kwa waislamu.Juzi moja nimekutana na mtu ana chuki ya waziwazi kwa Wakristu na anaelezea kile unachokihubiri humu.Baada ya kumchallenge siku hizi hanisalimii.Kinachofurahisha ni jobless anayeshinda misikitini akipiga mazoezi ya Karate
 
Yoda,
Mtihani mkubwa aliokuwanao Nyerere ilikuwa atatatua vipi tatizo la Mufti wa Tanganyika Sheikh Hassan bin Ameir.

Alikuwa keshafanikiwa kuivunja EAMWS kilichobaki ni kuitisha mkutano wa masheikh vibaraka waunde jumuiya mpya ya Waislam na ufanyike uchaguzi wa viongozi.

Masheikh vibaraka wakawa katika mtanziko.

Vipi tuitishe uchaguzi wa viongozi wa Waislam ilhali miongoni mwao hayuko Sheikh Hassan bin Ameir?

Hili litawezekana vipi?

Sheikh gani atakuwa na ujasiri kukubali uongozi wa Waislam wakati Sheikh Hassan bin Ameir yuko Tanganyika na anasomesha darsa zake misikitini?

Kizingiti hiki kilikuwa kikubwa.

Madam Mufti Sheikh Hassan bin Ameir yuko Dar es Salaam hilo halitawezekana.

Waislam wakapanga kuitisha mkutano Ukumbi wa Arnautoglo wawajadili masheikh vibaraka wanaotaka kuvunja umoja wa Waislam.

Hizi zilikuwa juhudi za vijana wa Sheikh Hassan bin Ameir Mussa Kwikima na Bilal Waikela.

Allah kwa rehema zake amejaaliwa kuwepò mapenzi makubwa baina ya yangu na Mzee Waikela na Kwikima pamoja na Hamza Aziz.

Tukawa pamoja hadi wote walipotangulia mbele ya haki wakiniacha mpweke.

Wote hawa nimewaandikia taazia huku nikimwagikwa na machozi ndani ya moyo wangu.

Mzee Waikela na Wakili Msomi Mussa Kwikima juu ya udogo wangu wa umri na kila kitu wakija Dar-es-Salaam lazima watakuja nyumbani kwangu kunisalimu.

Mimi na Hamza Aziz tulikuwa na Majlis yetu nyumbani kwake kibandani ufukweni.

Nimechota mengi kutoka kwao.
Alhamdulilah.

Vipi utapatikana uongozi nje ya Sheikh Hassan bin Ameir?
Nyerere akawa kapwelewa.

Akamwagiza Said Ali Maswanya Waziri wa Mambo ya Ndani ampe amri Hamza Aziz amkamate Sheikh Hassan bin Ameir kwa tuhuma za kupanga kupindua serikali.

Hamza Aziz akakataa kutii amri ya kumkamata Mufti.

Maofisa wa Usalama wa Taifa ndipo wakaenda wao nyumbani kwa Sheikh Hassan bin Ameir Magomeni usiku kumkamata.

Nyumba hii haipo mbali na nyumba ya Maalim Matar.

Kwa miaka mingi mimi nikiamini kuwa Sheikh Hassan walimtoa kitandani amelala.

Mwanafunzi wa mwanafunzi wa Sheikh Hassan bin Ameir simjui hanijui aliniona nje ya Msikiti wa Kichangani akanieleza kuwa amenisikia mara nyingi nikisema kuwa Sheikh Hassan alikuwa kavamiwa usiku.

Yule kijana akaniambia kuwa mwalimu wake amemweleza kuwa Sheikh Hassan alikuwa anajua kuwa usiku ule atakuja kukamatwa.

Sheikh alivaa nguo zake vizuri akakaa nyumbani kwake akiwasubiri huku anavuta uradi.

Walipogonga mlango wake akawatokea kuwakabili.
Ndege ilikuwa tayari imetayarishwa.

Sheikh Hassan hakurudi tena Tanganyika hadi umauti ulipomfika.

Baada ya kuwa sasa Sheikh Hassan bin Ameir hayuko tena kwenye ardhi ya Tanganyika ndipo masheikh vibaraka wakafanya mkutano wao Iringa na BAKWATA ikaundwa.

Chuo Kikuu kilichokuwa kinajengwa na EAMWS ndiyo ukawa mwisho pamoja na miradi yote ya elimu.

Inatosha.
Nimekuongezea ili somo hili ilijue vyema.
Nyerere alikuwa na akili mingi muno
 
Mangungo...

Mimi ningekuwa si muungwana na kalamu yangu nisingetunukiwa Mwandishi Bora Jukwaa la Historia kwa miaka miwili mfululizo.

Mimi ningekuwa naandika dini ya Kiislam kuwalingania watu nisingezungumza University of Iowa, Northwestern University, University of Johannesburg, University of Ibadan, Kenyatta University, University of Dar-es-Salaam, Sokoine University, State University of Zanzibar, Zentrum Moderner Orient na kwengine kwingi.

Mimi sijachokoza mtu yeyote niko hapa nasomesha historia ambayo nyie wote hamkupata kuifahamu hadi kilipochapwa kitabu cha Abdul Sykes London 1998.

Hili la kuwa nina heshima katika uandishi si mimi wa kukueleza wewe hilo.
Iulize nafsi yako itakupa jibu.

Na wala sina uwezo wa kukuzuia kukejeli.

Unaweza kuendelea kufanya hivyo nami nitaendelea kusomesha historia hii.

Niko hapa huu mwaka wa 16 nasomesha historia ya uhuru wa Tanganyika kama ilivyokuwa na nimeelimisha wengi.
Porojo as usual
 
Kwa hakika kipindi cha utawala wa Mwinyi hakupungukiwa na watu waliokuwa wanaona raha kumshambulia.

Ilisikitisha kuwa kulikuwa na magazeti yalimpa nafasi Reverend Mtikila kumshambulia Rais.

Kuna baadhi ya vijana wa wakati ule waliona wana wajibu na dhima kubwa ya kumtetea Rais pale ilipodhihiri kuwa hakuwa na mtetezi.

Nilikuwa mmojawapo wa vijana walioamua kumtetea Rais Mwinyi.

Namsoma Rais Mwinyi, ''Mzee Rukhsa Historia ya Maisha Yangu,'' na natingisha kichwa kwa mengi ninayokutananayo.

Natingisha kichwa kwa kuwa baadhi ya matukio na mambo yaliyomo kitabuni mimi na wenzangu tuliyafahamu kwa undani na tuliyaandika kwa yale yaliyostahili kuandikwa na mengine tuliyanyamazia.

Hapo chini kuna "Memories" post niliyoandika baada ya kutoka kumbukumbu za Rais Ali Hassan Mwinyi.

Ukiwa umesoma kitabu cha Mzee Mwinyi na ukawa umesoma kitabu cha Abdul Sykes (1998) utaona kuna mambo muhimu na mazito yamepishana kwa kiasi kikubwa.

Nilipata kumpa kitabu hicho Mzee Mwinyi nikiwa na nia akisome na ajue mchango wa Waislam katika kupambana na wakoloni kuanzia enzi za Vita Vya Maji Maji 1905.

Picha yangu hiyo hapo chini nikimkabidhi Rais Mstaafu Mzee Ali Hassan Mwinyi kitabu cha Abdul Sykes.

May be an image of 4 people and people standing
MJOMBA SAID BILA KUMTAJA HUYO MZULU SYKES BASI UZI HAUKAMILIKI.......NA BILA KUSIFIA WABANTU WALIOCHUKUA TAMADUNI ZA KIARABU UZI HAUKAMILIKI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 HAPO BADO HUJATUDANGANYA KUHUSU JIHAD YA MAJIMAJI............SASA TUKUAMINI WEWE AU BABU ZETU WALIOPIGANA NA WAJERUMANI 🤣🤣🤣
 
WEWE UNAMCHUKIA NYERERE NA KARUME SABABU WALIWAONDOA WAKOLONI WA KIARABU NA VIZAZI VYAO VYA MACHOTARA KATIKA UONGOZI.........!!!
😂🤣🤣🤣🤣�
Mjomba nadhani ww mpaka leo upo radhi kua mtumwa wa waarabu wa Oman
 
Back
Top Bottom